Sema ukipata sehemu nzuri probability za kuibiwa pia ni ndogoWanakuja wasubiri ila wanaweza kuja kukuvunjia maana watu wa Arusha ni wezi sana!
Shukrani ntawasiliana nae0693484828 Dalali wa Mushono
Ili usiibiwe usipange kwenye nyumba zile kama shule ya msingi uwe na wapangaji wenh=gine wawili au wewe na mpangaji mweingine baasi hawaibi hapo!Sema ukipata sehemu nzuri probability za kuibiwa pia ni ndogo
Utakuta unaendika hapa una watu wanakuita mama. Yani mama unakuwa na akili kama hii wanao utawafundisha nini?Wanakuja wasubiri ila wanaweza kuja kukuvunjia maana watu wa Arusha ni wezi sana!
Arusha wezi!Utakuta unaendika hapa una watu wanakuita mama. Yani mama unakuwa na akili kama hii wanao utawafundisha nini?
Akili za kisengerema hizi.Wanakuja wasubiri ila wanaweza kuja kukuvunjia maana watu wa Arusha ni wezi sana!
Mijizi hiyoo mijitu ya Arusha!Akili za kisengerema hizi.
Ni kweli kabisa tumekuibia tigo yako pole sana.Mijizi hiyoo mijitu ya Arusha!
Ni kweli kabisa tumekuibia tigo yako pole sana
Majizi hayoooooo!Ni kweli kabisa tumekuibia tigo yako pole sana.
Ahsante, nimependelea moshono sababu ni karibu na sehemu ya kibaruaKama utapenda maeneo ya airport then kuna chumba, sebule na kitchen yake. Nyumba mpya kabisa wewe ndo utakuwa mtu wa kwanza kukaa
Sawa nimeshamtafuka ananisaidia kutafutaHuyo Dalali wa Mushono hata mimi alinisaidia kupata sehemu ya kukaa nilipohamia Arusha mwaka 2019,na pia alinisaidia kupata kiwanja cha kununua Kiseriani,yupo safi
Haha sawa bossNenda njiro kaa hostel za IAA bei fresh kabisa zile hostel za nje ya chuo unakula na totoz za chuo kila siku mpya
Chuga ni the best people ever.Arusha wezi!