Nahitaji chumba Self cha Kupanga Arusha

Ukitu

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
217
181
Habari

Natafuta chumba cha kupanga Arusha, maeneo ya Moshono au Njiro.

Kiwe chumba kimmoja ambacho ni self , kiwe kina nafasi na jiko dogo

Chumba kiwe katika mazira masafi yenye ulinzi na karibu na barabara.

Budget ni 100k
 
Sema ukipata sehemu nzuri probability za kuibiwa pia ni ndogo
Ili usiibiwe usipange kwenye nyumba zile kama shule ya msingi uwe na wapangaji wenh=gine wawili au wewe na mpangaji mweingine baasi hawaibi hapo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom