Superleta
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 466
- 538
Za wakati huu wanajamii forum
Maisha yapo tofauti wakati mwingine na wakati mwingine huna.
Naombeni anayefahamu chumba kinapangishwa maeneo hayo ya M Cityity, Savei, Mwenge, Ubungo, Sinza, Makongo, External, Msewe, Golani, Riverside na Hostel.
Pakiwa karibu na M.City nipo tayari kutoa 40k au nikikosa kabisa 50k.
Ikiwa ni Ubungo, Msewe, Riverside, External, Golani na maeneo mengine, ningepata cha 25k, au 30k au 35 au 40k ningefurahi sana.
Ningekua na hali nzuri ningetafuta kupitia dalali ila kwa sasa financial siko poa wapendwa
Anayejua aniPM please
Natumai nitapata.
Wenu mtiifu
Sp
Super leta
2019
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha yapo tofauti wakati mwingine na wakati mwingine huna.
Naombeni anayefahamu chumba kinapangishwa maeneo hayo ya M Cityity, Savei, Mwenge, Ubungo, Sinza, Makongo, External, Msewe, Golani, Riverside na Hostel.
Pakiwa karibu na M.City nipo tayari kutoa 40k au nikikosa kabisa 50k.
Ikiwa ni Ubungo, Msewe, Riverside, External, Golani na maeneo mengine, ningepata cha 25k, au 30k au 35 au 40k ningefurahi sana.
Ningekua na hali nzuri ningetafuta kupitia dalali ila kwa sasa financial siko poa wapendwa
Anayejua aniPM please
Natumai nitapata.
Wenu mtiifu
Sp
Super leta
2019
Sent using Jamii Forums mobile app