Nahitaji Boyfriend toka JF awe na Sifa hizi

My name is khadija ,nina miaka 20 plus. Ni muda mrefu kidogo nmejiunga JF ila nlikuwa napenda zaidi kusoma kuliko kupost au comment chochote.

Kuna watu ambao nmejifunza mengi kwao nikawapenda kuwa marafiki na kutaka kuwa na marafiki wenye sifa kama zao.

Nahitaji Boyfriend (rafiki wa kiume toka Jamiiforums ) awe member zaidi ya Mwaka mmoja ( ili nisome threads zake zote nimfahamu tabia yake)

Awe na sifa nyingi kama za GuDume. Mcheshi,mtu wa stories ( mimi si muongeaji napenda kusikiliza) mwenye vituko na mwenye kujiamini.gudume ana sifa za my ideal man.ila nasikia ameoa.

Awe na utulivu hata akitukanwa kama Joseverest au wakati mwingine Mshana Jr. Ingawa tatizo la mshana ni hayo mambo yake ya shirki ila kutotukana ni jambo jema.

Awe na elimu ya kuanzia Diploma at least. Mwenye uwezo mzuri wa kuzungumza kiingereza. Hili nmeliona kwa GuDume na Nyani Ngabu. Napenda mwanaume anayezungumza au andika kiingereza vizuri.

Kuna mwanaume mwingine anaitwa Sodoku naye nmemsoma na kumwona anaonekana anajali familia yake na mtulivu pia napenda a man with those qualities.

Kuna mwanaume anaitwa Kiduku Lilo huyu anaonekana kuwa na pesa ila mjeuri na mwenye majidai sana.sipendi mwanaume mwenye dharau sana. Ila napenda awe anajiamini.huyu pamoja na kujiamini lakini ana dharau kwa maskini.

Napenda nipate boyfriend mwenye kufuatilia siasa pia kama anavyofanya pascal mayala anaonekana kuwa na ufaham mzuri wa siasa na kufuatilia kwa ujumla.

Mimi ni mdada ambaye nmemaliza chuo mwaka jana. Nmeajiriwa bado naishi kwa wazazi. Nina marafiki wachache sana na sijawahi kuwa na mpenzi na sihitaji kwa sasa.

Nahitaji tu marafiki wa kiume ambao nitashare nao mambo mawili matatu ya maisha hasa baada ya kujikuta napoteza marafiki wengi wa kike sababu wengi wao wanafiki na wenye wivu.

Nimeamua kutafuta marafiki wa kiume baada ya kugundua rafiki yangu wa karibu sana zaidi ya miaka mitatu kumbe amekuwa akipokea pesa kwa wanaume ili wanipate.akitumia jina langu kupata pesa kwao kama ni mimi ndo namtuma.

Nliamua kuachana naye baada ya kugundua hilo kwa wanaume zaidi ya watatu.

Sipendi ukaribu na mtu mwnye akili za kitoto.so i need somebody who is matured.anayefaham maisha na si mpuuzi au mtoto mtoto...sipendi kuwa hata karibu na mwanaume au mwanamke mwenye mdomo mchafu (matusi) kama mmoja wa member humu ndani ambaye naye nimemsoma mara nyingi akitukana au kutishia kutukana wenzie wanapompinga.

Hivyo kama utakuja na matusi sitohangaika kukujibu.napenda tuhehsimiane na kila mtu amheshimu binadamu mwenzie.

Ni hayo tu marafiki zangu.
Njoo DM
 
Bibie..!
My name is khadija ,nina miaka 20 plus. Ni muda mrefu kidogo nmejiunga JF ila nlikuwa napenda zaidi kusoma kuliko kupost au comment chochote.

Kuna watu ambao nmejifunza mengi kwao nikawapenda kuwa marafiki na kutaka kuwa na marafiki wenye sifa kama zao.

Nahitaji Boyfriend (rafiki wa kiume toka Jamiiforums ) awe member zaidi ya Mwaka mmoja ( ili nisome threads zake zote nimfahamu tabia yake)

Awe na sifa nyingi kama za GuDume. Mcheshi,mtu wa stories ( mimi si muongeaji napenda kusikiliza) mwenye vituko na mwenye kujiamini.gudume ana sifa za my ideal man.ila nasikia ameoa.

Awe na utulivu hata akitukanwa kama Joseverest au wakati mwingine Mshana Jr. Ingawa tatizo la mshana ni hayo mambo yake ya shirki ila kutotukana ni jambo jema.

Awe na elimu ya kuanzia Diploma at least. Mwenye uwezo mzuri wa kuzungumza kiingereza. Hili nmeliona kwa GuDume na Nyani Ngabu. Napenda mwanaume anayezungumza au andika kiingereza vizuri.

Kuna mwanaume mwingine anaitwa Sodoku naye nmemsoma na kumwona anaonekana anajali familia yake na mtulivu pia napenda a man with those qualities.

Kuna mwanaume anaitwa Kiduku Lilo huyu anaonekana kuwa na pesa ila mjeuri na mwenye majidai sana.sipendi mwanaume mwenye dharau sana. Ila napenda awe anajiamini.huyu pamoja na kujiamini lakini ana dharau kwa maskini.

Napenda nipate boyfriend mwenye kufuatilia siasa pia kama anavyofanya pascal mayala anaonekana kuwa na ufaham mzuri wa siasa na kufuatilia kwa ujumla.

Mimi ni mdada ambaye nmemaliza chuo mwaka jana. Nmeajiriwa bado naishi kwa wazazi. Nina marafiki wachache sana na sijawahi kuwa na mpenzi na sihitaji kwa sasa.

Nahitaji tu marafiki wa kiume ambao nitashare nao mambo mawili matatu ya maisha hasa baada ya kujikuta napoteza marafiki wengi wa kike sababu wengi wao wanafiki na wenye wivu.

Nimeamua kutafuta marafiki wa kiume baada ya kugundua rafiki yangu wa karibu sana zaidi ya miaka mitatu kumbe amekuwa akipokea pesa kwa wanaume ili wanipate.akitumia jina langu kupata pesa kwao kama ni mimi ndo namtuma.

Nliamua kuachana naye baada ya kugundua hilo kwa wanaume zaidi ya watatu.

Sipendi ukaribu na mtu mwnye akili za kitoto.so i need somebody who is matured.anayefaham maisha na si mpuuzi au mtoto mtoto...sipendi kuwa hata karibu na mwanaume au mwanamke mwenye mdomo mchafu (matusi) kama mmoja wa member humu ndani ambaye naye nimemsoma mara nyingi akitukana au kutishia kutukana wenzie wanapompinga.

Hivyo kama utakuja na matusi sitohangaika kukujibu.napenda tuhehsimiane na kila mtu amheshimu binadamu mwenzie.

Ni hayo tu marafiki zangu.
Ukweli halisi ni kwamba unamtaka rafiki ambaye baadae ageuke kuwa mume

Ungekuwa urafiki tu wa kawaida huwezi kuomba ajitokeze mwenye sifa kama ulizotaka, ungeanza naye tu anaekufaa

Pili usingetaka mmoja kama hao uliokuwa nao wa kike walivyokuwa zaid

Tatu isingekuwa muhimu kunasibu umbo lako kama mrefu au mfupi nk

Nne hivyo unavyotaka huyo mtu awe navyo unataka avidhihirishe wapi? Humu ndani au mkiwa pamoja?

All in all uko sawa tu, UTAMPATA
 
Eti kuna mwanajf humu ndani anayetishia watu kuwatukana acha unafiki hapo wewe mwenyewe huna sifa yeyote wala nini kazi kujishaua tu uonekane wa muhimu.
Humu utatafuta sana utaliwa sana mwisho wake wanaume hawatafutwi na risala wanaume wanaume wanakuja wenyewe.
Kama mzuri sana ungeolewa 18 ila wewe ni umiza kichwa tu kama wengine.
Leo nimependa mwandiko wako,nimependa pia ulichoandika.

Umeeleweka!!
 
Mmmh.... Ujeuri umetoka wapi tena? Maana nmekujibu kama ambavyo umekuja the harder you come the harder you leave.

Mi nlidhani ni mwanamke haya kama wewe ni jinsia me.makubwa.

Basi ntaku treat kama me.
hehehe... astaghafirurah..
 
Natafuta rafiki tu mwenye sifa kama Gudume,ila Gudume kaoa!!! Ha ha ha ha ha ,msomi wa elimu ya chuo asiyejua nini anataka
 
Bi Khadija

Maandishi yako yanaonesha upeo wako mkubwa wa kufahamu mambo, kuyachambua na kutengeneza hitimisho jadidi.

Kwa upeo huu haiwezekani hukupata boyfriend sahihi wakati unasoma A level, na hasa hasa chuo hiyo miaka mitatu hadi mitano. Ilikuwaje mpaka umehitimu masomo, uko nyumbani mwaka sasa baada ya masomo, huko kazini uendako kote huko hakuna boyfriend sahihi?

Itoshe kukutakia kila la heri, mwenyezi Mungu akujalie furaha ya moyo wako.

c.c Honey Money Penny
Honey 50thebe Acha akaolewe na Babake au Mjombake 😂😂😂
Next time uwe unani tag kwenye nyuzi zinazochangamsha genge sio hizi nasoma mpaka nasinzia (Predictable & Boring)
 
how I can get you I'm serious love you're phrase karibu ni karibishe mamaa
 
Kwenye thread yako ungesema unataka BF awe na mironjo Kama MHURI25 asee ningepata mbichwa huo sema ujazungumzia Hilo...
 

Similar Discussions

33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom