Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Mkuu achana nao hao,hao ndio wakina "Baba Junior ". Nakupongeza sana kwa kushtuka mapema,hii changamoto ilishawahi kunikuta watoto walikuwa wakirudi shule wakishabadili nguo tuu moja kwa moja kwenye cartoon na games mpaka muda wa kula na kufanya homework hakuna,weekend ndio wakiamka saa 12 asubuhi kama wazazi hampo hapo wataangalia TV mpaka mrudi. Nilichofanya ni kutafuta ndugu aliemaliza Chuo hana mishe tukakubaliana terms and conditions za kudili nao pamoja na improvements za masomo yao. Nikawa namlipa,baadae matokeo yakawa mazuri sana.Amin unavyoamin acha na me niamin ninavyoamin