Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,834
- 38,717
Ndio upeo wako ulipoishia,unawaza ngono tuu.Hatafutwi mwalimu hapo, inatafutwa nyumba ndogo ya ndani
Ndio upeo wako ulipoishia,unawaza ngono tuu.Hatafutwi mwalimu hapo, inatafutwa nyumba ndogo ya ndani
haha me nimwanaume hii avatar nipicha dem wng! Ila uyu jamaa ana2zuga2 yeye anatafuta mke uwo ndio ikwelNenda pm akuoe wewe
naona umekuja na ID nyingineKuwa mtu mzima basi,yaani atafute papuchi hapa tena kuna jukwaa husika kabisa kwa mambo hayo,mademu wote mtaani hajawaona?
Unaujua ule uzi wa kuliwa kimasihara?Mimi nahitaji hiyo kazi...nimemaliza kidato cha sita...sijui nakupataje
Duh basi wewe huwezi ishi na watu kama ndo hiviIv umeelewa kweli? Wa kiume atalala wap? Atapaswa alale na watoto wangu wa kiume iv unajua hawamashoga wa ukubwan wamtoka wap?
Huyo wa kike si atalala na dada wa kazi atawaharibuje?
Soma kwanza uelewe kabla ya kukurupuka kucoment