KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Hili suala ni nyeti na muhimu sana. Ingalikuwa vema watu wakaweka siasa kando na kulisemea kwa pamoja. Yawezekana kuna sehemu waliopewa dhamana hawajaliona na wapo kwenye masuala mengine. Juzi wale CHIF wamepandisha bei ya Bima yao. Hawa walikuwa kimbilio la watu wengi wasiokuwa na uwezo, lakini hata ukiwa na Bima yao Dawa hupati.
Kwa kawaida vijiweni tunaposhinda kama mmoja wetu akipatwa na maradhi huwa tunamchangia hela za dawa lakini tulishawishika kutumia CHIF kuwaokoa wenzetu wasio na uwezo. Sasa hawa CHIF nasikia nao wamepunguza package na dawa hazipatikani kwa kutumia kadi zao. Kwa hili tuweke siasa pembeni watu wanaumia na wengine hufa kwa kukosa huduma nzuri za matibabu.
Kwa kawaida vijiweni tunaposhinda kama mmoja wetu akipatwa na maradhi huwa tunamchangia hela za dawa lakini tulishawishika kutumia CHIF kuwaokoa wenzetu wasio na uwezo. Sasa hawa CHIF nasikia nao wamepunguza package na dawa hazipatikani kwa kutumia kadi zao. Kwa hili tuweke siasa pembeni watu wanaumia na wengine hufa kwa kukosa huduma nzuri za matibabu.