Frank mtanganyika
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 459
- 732
Nimepata tenda ya ujenz kuna kampuni ndogo niko nayo nahitaj mwekezaji atakaye wekeza million 60 tu ili tuweze kuanza mradi na pindi tutakapo lipwa advance payment tutarudisha hela yake kwa makubaliano tutakayo kuwa tumewekeana.