American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 665
- 941
Nimekuwa na tatizo hili kwa muda sasa
kila nikiwa mahari nimekaa au nimelala, ghafla nakuwa nahisi kama mdudu ananitembea sehemu fulani ya mwili! nikitizama naona ni kwenye mshipa wa damu, kitu kinatembea ndani ya mshipa wa damu kisha kinatulia!
inakuwa inanitokea sehemu mbalimbali za mwili kasoro kichwani! Wataalamu naombeni msaada hili jambo linanikera mno!
kila nikiwa mahari nimekaa au nimelala, ghafla nakuwa nahisi kama mdudu ananitembea sehemu fulani ya mwili! nikitizama naona ni kwenye mshipa wa damu, kitu kinatembea ndani ya mshipa wa damu kisha kinatulia!
inakuwa inanitokea sehemu mbalimbali za mwili kasoro kichwani! Wataalamu naombeni msaada hili jambo linanikera mno!