Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Nimekuwa nikifuatilia suala la matumizi ya lugha katika maeneo yetu na sasa naona kuwa tumekwama kabisa. Iwe ni Kiswahili, hatukizungumzi inavyotakiwa.
Na wale wanaojidai walienda shule hao ndo balaa. Wakiongea Kiswahili hakuna kitu na Kiingereza ndo mchemsho.
Juzi juzi nilikuwa na rafiki yangu toka Kenya, tukakutana na washikaji wengine na kulazimika kutumia Kiigereza. Baada yapo, huyo jamaa toka Kenya akawa ananiuliza kwamba inakuwaje watu wanashindwa vitu ambavyo huko kwao vinamalizika katika ngazi ya shule ya msingi. Hili hasa lilihusu tenses. Unakuta mtu anaseme kwa mfano, "last week we go to Dar, then meet our friends. We do different types of sports such as beach football and volley ball. The we go to dance music at Billicanas. That DJ is good, he play great tracks and we all enjoying his music because we go back home almost in the morning"!
Hivi tunajua kuwa tuna matatizo? Na je tunachukua hatua gani kuyasahihisha?
Nasikitika sana ninapokutana na washikaji wa namna hii kwani naamini bado tunaweza kujisomea na kusahihisha makosa ya lugha tunazotumia!
Na wale wanaojidai walienda shule hao ndo balaa. Wakiongea Kiswahili hakuna kitu na Kiingereza ndo mchemsho.
Juzi juzi nilikuwa na rafiki yangu toka Kenya, tukakutana na washikaji wengine na kulazimika kutumia Kiigereza. Baada yapo, huyo jamaa toka Kenya akawa ananiuliza kwamba inakuwaje watu wanashindwa vitu ambavyo huko kwao vinamalizika katika ngazi ya shule ya msingi. Hili hasa lilihusu tenses. Unakuta mtu anaseme kwa mfano, "last week we go to Dar, then meet our friends. We do different types of sports such as beach football and volley ball. The we go to dance music at Billicanas. That DJ is good, he play great tracks and we all enjoying his music because we go back home almost in the morning"!
Hivi tunajua kuwa tuna matatizo? Na je tunachukua hatua gani kuyasahihisha?
Nasikitika sana ninapokutana na washikaji wa namna hii kwani naamini bado tunaweza kujisomea na kusahihisha makosa ya lugha tunazotumia!