mkuu achana nae huyo gubegube la sivyo atakuletea kila aina ya nuksi na hata kukurestisha in peace. kama anataka mgawane mali mpe, we baki kuhudumia watoto. Mali kitu gan, na anafanya hivyo makusudi akitumia ngao ya watoto na mali kuwa hutakuwa na uthubutu wa kumuacha. Tena muache kwa herufi kubwa, msomi kama wewe mwenye shahada unapelekeshwaje na huyo leyman, unatuaibisha aisee.