=======Hufunguliwi mashitaka kwakuwa una mali nyingi bali unafunguliwa mashitaka ikiwa hutaweza kueleza mali hizo umezipata vipi na kwa vyanzo halali ikiwemo mshahara wako au mkopo...
Kama utashindwa kuthibitisha jinsi ulivyo pata mali zako basi utashitakiwa kwa kujipatia mali kwa njia zisizo halali....
Haiwezekani una mali halafu ushindwe kusema kuwa mimi hiii nilinunua kwa mshahara wangu,hii nilichukua mkopo nikafanya hiki nikapata faida nikafanya hiki.....
===Onesha vielelezo ulipataje hizo mali.