Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Jamani,
Sijui kama na wenzangu huwa inawatokea, mwenzenu huwa inafika mahali tumbo linaniuma kwa kufikiria namna nchi hii inavyoongozwa na kikwete na serikali yake ya sisiem kama gari bovu. Wakati mwingine huwa naona ni bora uwe kama mhadzabe anayeishi porini na asiye na habari na mambo ya siasa na uchumi. Anaweza kuwa na amani kuliko mimi.
Sijui kama na wenzangu huwa inawatokea, mwenzenu huwa inafika mahali tumbo linaniuma kwa kufikiria namna nchi hii inavyoongozwa na kikwete na serikali yake ya sisiem kama gari bovu. Wakati mwingine huwa naona ni bora uwe kama mhadzabe anayeishi porini na asiye na habari na mambo ya siasa na uchumi. Anaweza kuwa na amani kuliko mimi.