Nahisi nina pepo la ngono. Mi ni mwanamke...

Novela E

Member
Feb 5, 2019
28
33
Heri ya pasaka wakuu.
Nimerudi tena ndugu yenu, jaman najihisi Nina pepo LA ngono maana ninayopotia Mungu mwenyewe anajua.

Nilikuja hapo awali kuomba ushauri kuhusu yule jamaa wa Muheza niliekua nampenda, nashukuru nilisoma comment zenu nikawaelewa nikaachana nae, huku bado nampenda lakin lakin nimempotezea kwa hilo namshukuru Mungu.

Jaman kinachonitesa mm, nimekua MTU wa kupenda penda hovyo. Nimeacha na yule jamaa wa muheza nimepata jamaa mwingine ambae ni best angu alikua akinisumbua nikajikuta namkubalia, lakin tunaishi mbali na hatujawah onana zaidi ya kutumiana PC tu, nimejikuta nimempenda tena, tena wala hana kipato kikubwa cha kumzidi mume wangu mm ndo huwa namtotoa na vivocha.

Jaman naumia hii hali siipendi, sometimes nawaza nakosa kitu gani kwa mume wangu na mume wangu ananijali na kunipenda SNA.

Nimewaza nikagundua babaangu mzazi anatabia ya umalaya, yaan sket haimpiti mbele mabint wa kaz wakija home anavuluga vibaya mno. Inawezekana ikawa ndo chanzo cha mm kuwa HV roho ya umalaya inanifuatilia.

Pia naomba mtambue, Mm huko nyuma niliokoka na mume wangu na tukawa tumesimama vzr SNA.
Tokea niruhusu hali hii ya kutaman nje, nimekua tofauti kabisaaa sina tena hamu na mume wangu, najikuta muda wote nakuwa na nyege yaan nikumuona mwanaume mzuri nasema huyu jamaa anaweza akawa anajua kunisugua vzr kuzidi Mr wangu,

Nimekua MTU wa hivyo yaan kutaman taman dudu za nje, yaan nyege zinanisumbua hata sielewi, kinachonitisha zaid mm na Mr wangu ni mlokole wala hana mambo ya ajab ajab yupo bize na mambo yke cjawah muhis wala mkuta namchepuko yaan anampenda Mungu SNA.

Lakin mm mke wake, nimenaswa na shetan na cjui najiondoaje kwenye mtego huu, Ila cjawah kutoka nje ya ndoa lakin kwenye cm Nina mchepuko ambao tunatiana nyege SNA na ananiambia siku akinipata atanikuna mpaka nimsahau Mr wangu.

Ushauri jaman, nataman niondokane na hali hii sometimes nawaza mpaka nalia kwann namkosea Mungu na Mr wangu natubu lakin baadae mambo yako palepale.
Cjui cku Mr, akibamba chat zetu ntaweka sapi sura yangu, eeh Mungu nisaidie niondokane na hali hii niludishe upendo kwa Mr wangu.

Mr, najua utausoma huu ujumbe wangu humu, nk mchepuko wangu pia utausoma maana wote mpo humu. Nakupenda Mr wangu lakin lakin naona kama hunitoshelez hunikun vzr, nataman nionje nje nione kupoje may be ntatulia tatizo mwili unanisumbua jaman

Nishaurin nifsnyaje nitulie kwenye ndoa yangu, na nisimame vzr kiroho kama Mwanzo.
 
Kamata dinu tu dani!!

Kama baba yako anawat0mba mabinti za watu hovyo, nawe utachezea mnoo mkuyenge deni la zinaa hulipwa kwa zinaa!!

Muombe saana mola wako, uache huo upuuzi, kumbe una mume basi unajiendekeza kama mumeo hakupumulii vizuri kaa nae chini muyajenge ili upate kukituliza ndani, utaishia kwenye maradhi tuu.
 
Yaani kumbe umeolewa???? Hiiiiiiii naomba nifunge bakuli langu maana hapa naweza kukutemea nyongo ......kila la kheri katika hatua yako ya kujirekebisha
Na wewe olewa Basi, halafu unitunuku na vocha uwe unanitumia
 
Tamaa mbele, mauti mbele. Tendo la ndoa ni kwa ajili ya kuleta watoto duniani na mmeo. Hayo mambo ya kusuguana ni tamaa na mwisho wake ni mauti.
Heri ya pasaka wakuu.
Nimerudi tena ndugu yenu, jaman najihisi Nina pepo LA ngono maana ninayopotia Mungu mwenyewe anajua.

Nilikuja hapo awali kuomba ushauri kuhusu yule jamaa wa Muheza niliekua nampenda, nashukuru nilisoma comment zenu nikawaelewa nikaachana nae, huku bado nampenda lakin lakin nimempotezea kwa hilo namshukuru Mungu.

Jaman kinachonitesa mm, nimekua MTU wa kupenda penda hovyo. Nimeacha na yule jamaa wa muheza nimepata jamaa mwingine ambae ni best angu alikua akinisumbua nikajikuta namkubalia, lakin tunaishi mbali na hatujawah onana zaidi ya kutumiana PC tu, nimejikuta nimempenda tena, tena wala hana kipato kikubwa cha kumzidi mume wangu mm ndo huwa namtotoa na vivocha.

Jaman naumia hii hali siipendi, sometimes nawaza nakosa kitu gani kwa mume wangu na mume wangu ananijali na kunipenda SNA.

Nimewaza nikagundua babaangu mzazi anatabia ya umalaya, yaan sket haimpiti mbele mabint wa kaz wakija home anavuluga vibaya mno. Inawezekana ikawa ndo chanzo cha mm kuwa HV roho ya umalaya inanifuatilia.

Pia naomba mtambue, Mm huko nyuma niliokoka na mume wangu na tukawa tumesimama vzr SNA.
Tokea niruhusu hali hii ya kutaman nje, nimekua tofauti kabisaaa sina tena hamu na mume wangu, najikuta muda wote nakuwa na nyege yaan nikumuona mwanaume mzuri nasema huyu jamaa anaweza akawa anajua kunisugua vzr kuzidi Mr wangu,

Nimekua MTU wa hivyo yaan kutaman taman dudu za nje, yaan nyege zinanisumbua hata sielewi, kinachonitisha zaid mm na Mr wangu ni mlokole wala hana mambo ya ajab ajab yupo bize na mambo yke cjawah muhis wala mkuta namchepuko yaan anampenda Mungu SNA.

Lakin mm mke wake, nimenaswa na shetan na cjui najiondoaje kwenye mtego huu, Ila cjawah kutoka nje ya ndoa lakin kwenye cm Nina mchepuko ambao tunatiana nyege SNA na ananiambia siku akinipata atanikuna mpaka nimsahau Mr wangu.

Ushauri jaman, nataman niondokane na hali hii sometimes nawaza mpaka nalia kwann namkosea Mungu na Mr wangu natubu lakin baadae mambo yako palepale.
Cjui cku Mr, akibamba chat zetu ntaweka sapi sura yangu, eeh Mungu nisaidie niondokane na hali hii niludishe upendo kwa Mr wangu.

Mr, najua utausoma huu ujumbe wangu humu, nk mchepuko wangu pia utausoma maana wote mpo humu. Nakupenda Mr wangu lakin lakin naona kama hunitoshelez hunikun vzr, nataman nionje nje nione kupoje may be ntatulia tatizo mwili unanisumbua jaman

Nishaurin nifsnyaje nitulie kwenye ndoa yangu, na nisimame vzr kiroho kama Mwanzo.
 
Back
Top Bottom