Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Salam nyingi ziwafikie hapo mlipo, mara baada ya salam hofu na mashaka ni kwenu mlio mbali na upeo wa macho yangu.
Leo majira ya saa tatu na nusu usiku nikiwa natokea tegeta kwenda makonde (Dar) nikiwa kwenye daladala nimetokewa na jambo ambalo ninalichukuli kama bahati na kwa kweli nina mshukuru Mungu. Huko nyuma maeneo ya kuanzia suma jkt mpaka africana tulikuwa tunambea kwa kasi kidogo hasa ukizingatia mida hiyo magari huwa ni machache barabarani. Mbele kidogo tukawa kwenye mwendo mdogo sana kuruhusu magari mengine yapite. Mara tairi ya mbele upande wa kulia ikapiga mzinga (ikapasuka). Dereva akapaki gari pembeni tukashuka. Ninajihisi mwenye bahati ninapofikiria ile tairi ingepasuka mapema zaidi ingekuwaje.
Nahisi nia bahati.
Leo majira ya saa tatu na nusu usiku nikiwa natokea tegeta kwenda makonde (Dar) nikiwa kwenye daladala nimetokewa na jambo ambalo ninalichukuli kama bahati na kwa kweli nina mshukuru Mungu. Huko nyuma maeneo ya kuanzia suma jkt mpaka africana tulikuwa tunambea kwa kasi kidogo hasa ukizingatia mida hiyo magari huwa ni machache barabarani. Mbele kidogo tukawa kwenye mwendo mdogo sana kuruhusu magari mengine yapite. Mara tairi ya mbele upande wa kulia ikapiga mzinga (ikapasuka). Dereva akapaki gari pembeni tukashuka. Ninajihisi mwenye bahati ninapofikiria ile tairi ingepasuka mapema zaidi ingekuwaje.
Nahisi nia bahati.