Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 800
- 1,050
Habari zenu Wana JF? I wish mnaendelea vizuri na funga katika mwezi huu mtukufu...
Member Mwenzenu siko poa nina maumivu ya kichwa almost wiki ya pili sasa nilipima niliambiwa nina malaria dozi nilimaliza na bado nina hilo tatizo
Pili Mafua yanayobana sana majira ya usiku kiasi kwamba nashindwa kupumua kwa raha....Na baadhi ya dalili kama koo kuwasha na kikohozi
Lakini hofu yanguni huenda ukawa huu ugonjwa ila najiuliza ni wapi nimepata mbona ni mtu wa kufata zile measures zote.....
All In All dua zenu wenu wadau najua wengine mnapitia hali kama yangu
Member Mwenzenu siko poa nina maumivu ya kichwa almost wiki ya pili sasa nilipima niliambiwa nina malaria dozi nilimaliza na bado nina hilo tatizo
Pili Mafua yanayobana sana majira ya usiku kiasi kwamba nashindwa kupumua kwa raha....Na baadhi ya dalili kama koo kuwasha na kikohozi
Lakini hofu yanguni huenda ukawa huu ugonjwa ila najiuliza ni wapi nimepata mbona ni mtu wa kufata zile measures zote.....
All In All dua zenu wenu wadau najua wengine mnapitia hali kama yangu