kiraremapojoni
JF-Expert Member
- Nov 30, 2018
- 391
- 512
Uliwazalo mara nyingi ndilo likutokealo ila midhali umeamini kama huo ndo uwezo wako basi ndo utaishia hapo. Ikate hiyo hali kwa njia yeyote ile iwe ni matibabu ya hospital , ya kiroho au ya kiswahili ila narudia ikemee sana.
Tendo ni hisia na mara nyingi hsia zikiwa juu kunakuwa na mhemko ndani yake ambao huwa unachochea hisia za mwili kufanyakazi kwa kasi na ikishamaliza kazi yake inakwisha kabisa hamu ya tendo kwa mara nyengine, ndo pale unaposema kama huna hamu ya tendo kwa mara ya pili
Kimaumbile wanadamu tumetofautiana kutokana na koo, asili malezi na kadhalika, ila haiwi ni changamoto sana pale unapokutana na shida kama hii, muda mwengine mpangilio wako wa chakula ndo unafanya hormones zishindwe kuchochea mwili ipasavyo na hiyo hali ndo inapokujia
Nakushauri tumia dawa za akiasili kwani hazina madhara hata kidogo, nami nakushauri nenda maduka ya dawa za asili na mwambie nataka SUFA au SEFIO ya unga kisha uwe unakunywa kwenye maziwa ya vuguvugu au chai kwa muda wa mwezi utaanza kuona matokeo yake. Ni nzuri sana hii dawa naomba usiidharau kisha utakuja kutupa marejesho hapa.
Na kama utapata mafuta ya Habbat Soda pia uwe unakunywa asubuhi kabla hujala kitu na usiku ukishakunywa basi usile tena ndani ya week mbili utaanza kuona mabadiliko kaka.
Tendo ni hisia na mara nyingi hsia zikiwa juu kunakuwa na mhemko ndani yake ambao huwa unachochea hisia za mwili kufanyakazi kwa kasi na ikishamaliza kazi yake inakwisha kabisa hamu ya tendo kwa mara nyengine, ndo pale unaposema kama huna hamu ya tendo kwa mara ya pili
Kimaumbile wanadamu tumetofautiana kutokana na koo, asili malezi na kadhalika, ila haiwi ni changamoto sana pale unapokutana na shida kama hii, muda mwengine mpangilio wako wa chakula ndo unafanya hormones zishindwe kuchochea mwili ipasavyo na hiyo hali ndo inapokujia
Nakushauri tumia dawa za akiasili kwani hazina madhara hata kidogo, nami nakushauri nenda maduka ya dawa za asili na mwambie nataka SUFA au SEFIO ya unga kisha uwe unakunywa kwenye maziwa ya vuguvugu au chai kwa muda wa mwezi utaanza kuona matokeo yake. Ni nzuri sana hii dawa naomba usiidharau kisha utakuja kutupa marejesho hapa.
Na kama utapata mafuta ya Habbat Soda pia uwe unakunywa asubuhi kabla hujala kitu na usiku ukishakunywa basi usile tena ndani ya week mbili utaanza kuona mabadiliko kaka.