benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,066
Wazima wandugu, hili tatizo ni mimi tu au kuna mwingine linamtokea. Nikienda kwa vibanda vya mpesa mara nyingi wanataka Waone SMS iliyorudi kwangu ndio wanipatie pesa.
Nikienda office za watu utaona mdada anahamisha pochi yake na simu, Bank teller anachukua muda mwingi kunihudumia.. saa nyingine anaenda kupata ushauri kwa mwenzake au manager.
Hii hali inanifedhehesha sana.
Nikienda office za watu utaona mdada anahamisha pochi yake na simu, Bank teller anachukua muda mwingi kunihudumia.. saa nyingine anaenda kupata ushauri kwa mwenzake au manager.
Hii hali inanifedhehesha sana.