Nahisi nadanganywa

johkepha

Member
Sep 25, 2015
58
41
Jmn nina girl wangu aliachana na boy wake naalichange line asisumbuliwe lkn chaajabu leo yy ndokamtafuta jamaa anadai anataka amuambie ukwelianamtu wake... Je nia yake inaweza kuwa ni ipi guys
 
Yaani anamtamfu ili amwambie kwamba ana mtu wake? Demu wako bado anatafunwa na mshikaji, sema tu wewe hujui kujiongeza
Daaah pocble though mshikaji yupo mbali af demu yy ndokaanza kunitumia izo screenshot wanavyochat.... Nifanyeje apo mzee
 
Back
Top Bottom