Nahisi Mwanamke wangu anatamani wanawake wenzie

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Sijui kama hili linaweza kuwa geni kwenu,Mwanamke wangu ananizidi umri kidogo kama miaka mitano,kuna kitu ambacho kwangu ni kigeni.

Nikimlinganisha na wanawake niliowahi ku date siku za nyuma,kila tukitoka out na kukutana na wanawake wengine anawaangalia kwa jicho la tamaa, yaani kama mwanaume anavyomwangalia mwanamke kwa kumtamani ndivyo anavyofanya.

Yani nimejifanya sioni hili kwa muda mrefu sana na nahisi siwezi kumwambia kuwa hiyo tabia inanikera,kuna wanawake kwenye simu yake wanavyoongea ni kama aliwahi kufanya nao mapenzi siku za nyuma,hivi inawezekana mwanamke akawa anafanya mapenzi na wanawake wenzake na hapo hapo akawa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume?

Nifanye nini wakuu hii tabia inakera japop sina mpango wa kuoana naye lakini company yake naipenda
 
@episodes,

mkuu hapo kwenye rangi kazi unayo na hilo swala la kusagana lipona linaendelea kuwepo mchunguze ujue kama ni msagaji huyo mkeo..
 
mkuu hapo kwenye rangi kazi unayo na hilo swala la kusagana lipona linaendelea kuwepo mchunguze ujue kama ni msagaji huyo mkeo..

nitamchunguza vipi?sitaki ajue kama nahisi japo hainiathiri,kwenye umri unasemaje mimi naona ni poa tu
 
acha ushamba
napenda kutizama wanawake wazuri na kufurahia uumbaji na sina kasoro yeyote mbona??

Tena hasa twiga na farasi huvutia zaidi.

Sipendi viswala.
 
kaka huyo shem wetu ana tabia ya uzi.....................mbele anachoma at the same time nyuma anawekwa uzi. Inawezekana kabisa hao wanawake unaosema anaongea nao kwenye simu walikuwa wanasagana au wanaendelea kusagana ndo maana akiwaona wengine anawamezea mate anatamani nao awakoboe. Mchunguze vizuri huyo, siku mnaweza kulala, ukastukia kakutia dildo(artifial cock) makalioni.................... aha ha ha ha haha!!! sijui utakuja kutuelezea hapa JF ikitokea hivyo?
 
Ulezi kwa sasa umekuwa mgumu...ukiwa na mtoto wa kike unaweza kujisifu kuwa yuko safe kwa kuwa hana male company kumbe ndio kwishney...anasagana.

Niliangalia movie moja mama amemlea mwanae kwa kumchunga sana na kumpandikiza maneno ya kutisha kuhusu wanaume...kilichofuata akaanza kusagwa na sugar mummy mmoja...mama hana hili wala lile; kwani alikuwa hashtuki akimwona na wasichana au wanawake.

Hivyo muwe makini sana na u close wa mabinti zenu na same sex pia. Na msiwatishe sana kuhusu wanaume...wataishia kuwa ma lesbian
 
amekuzidi Miaka 5,afu kama anatamani wanawake,...itakuwa anawaangalia huku akikumbuka alivyokuwa kijana..
 
Hili sio tatizo kaka hii ni BARAKA kubwa sana, cha muhimu ucheze kete zako vizuri!
threesome.gif
 
acha ushamba
napenda kutizama wanawake wazuri na kufurahia uumbaji na sina kasoro yeyote mbona??

Tena hasa twiga na farasi huvutia zaidi.

Sipendi viswala.

@ chinese! Hivi zile dawa za kukuza zafanya kazi?
 
Back
Top Bottom