🤣🤣🤣🤣 wewe unaonekana mwogamwoga sana, usije ikimbia tu nyumba, hivi unashindwa nini tu kukataa!!Yani mpaka sasa nafanya kazi ya kumkwepa ila jamaa kila mda ananipigia simu aje!
Nahisi kifuatacho ataanza ziara za kushtukiza kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 wewe unaonekana mwogamwoga sana, usije ikimbia tu nyumba, hivi unashindwa nini tu kukataa!!Yani mpaka sasa nafanya kazi ya kumkwepa ila jamaa kila mda ananipigia simu aje!
Nahisi kifuatacho ataanza ziara za kushtukiza kwangu
Achana nae anataka akupige hela huyoKuna jamaa mmoja ni mfanyakazi mwenzangu japo hatufanyii kazi sehemu moja na hatukua na mazoea sana japo tulifahamiana maana mara kwa mara tumekua tukikutana kwenye vikao vya pamoja ambavyo hutokea mara chache tu kwa mwaka,
Sasa ilikua ijumaa iliyopita yule bwana tulikutana tena hapa ilikua ni kwenye kikao tena,
Sasa mida ile tunaondoka tukapanda gari moja kurudi makwetu nikajikuta napiga nae stori mbili tatu hadi nikamkaribisha nyumbani kwangu apaone,
Na yeye hakusita kweli akaja kwangu sasa ajabu alipofika ndani akakaa kidogo akatoka nje akaniita nilipotoka nje akaniambia hapa nyumbani kwako ni pachafu sana!
Mi nikashangaa nilikua sijamuelewa nikamwambia labda waifu leo hakufanya usafi, jamaa akaniambia hamaanishi hivyo ye anamaanisha nyumbani kwangu pametegwa madawa ya kichawi duh nilishangaa kusikia hivyo,
Jamaa akaniambia ila nikihitaji msaada atanisaidia tukarudi ndani, tumekaa tena kama dakika kumi akasema tena humu ndani ni pazito hadi jasho limenitoka ni pazito sana hapa inabidi pazindikwe,
Duh story zikaendelea baada ya mda akaniambia nimuoneshe chooni anataka kwenda nikamielekeza alipotoka chooni akarudi ananiambia chooni kwako ni pachafu sana kuna vitu umetegewa!
Kwakweli mi sikumuelewa but ile namsindikiza akaniambia eti nataka kunisaidia anipe dawa ya kuoga nyingine ya kuweka ndan, nyingine anichanje halafu anipe hirizi nifunge ndani,
Duh kwakweli mimi nikamkubalia kinafiki lakini moyo wangu ulisita maana mambo ya kufuga hirizi mi kwakweli hapana sijawai kuyafanya tangu kuzaliwa kwangu,
Halafu then ninunue wembe kabisa jamaa aje anichanje chale? Nikaona hii hapana
Sasa jamaa tangu siku hiyo ananisumbua sana kila mda ananitafuta eti anataka aje kunitengenezea madude,
Amenikomalia sana aisee na hata leo jioni kanitafuta anataka aje nikamwambia nimetoka sipo!
Sasa mi najiuliza huyu anataka kunisaidia au kunipandikizia vitu vyake?
Ushauri wenu jamani huyu mtu nimfanyeje au nimpe mabango asinirudie tena?
NB: huyu jamaa alihamishwa kwenye kituo chake cha kwanza cha kazi maana alikua hapatani na wafanyakazi wenzake walikua wakimshutumu kuwa ni mchawi! Sasa nikilinganganisha tuhuma zake za awali nahisi kabisa jamaa anataka kunipandikizia vitu vyake
Whether huyo jamaa yako yuko sahihi ama la, ninakuamuru uende Kanisani. Ni amri, siyo ombiKuna jamaa mmoja ni mfanyakazi mwenzangu japo hatufanyii kazi sehemu moja na hatukua na mazoea sana japo tulifahamiana maana mara kwa mara tumekua tukikutana kwenye vikao vya pamoja ambavyo hutokea mara chache tu kwa mwaka,
Sasa ilikua ijumaa iliyopita yule bwana tulikutana tena hapa ilikua ni kwenye kikao tena,
Sasa mida ile tunaondoka tukapanda gari moja kurudi makwetu nikajikuta napiga nae stori mbili tatu hadi nikamkaribisha nyumbani kwangu apaone,
Na yeye hakusita kweli akaja kwangu sasa ajabu alipofika ndani akakaa kidogo akatoka nje akaniita nilipotoka nje akaniambia hapa nyumbani kwako ni pachafu sana!
Mi nikashangaa nilikua sijamuelewa nikamwambia labda waifu leo hakufanya usafi, jamaa akaniambia hamaanishi hivyo ye anamaanisha nyumbani kwangu pametegwa madawa ya kichawi duh nilishangaa kusikia hivyo,
Jamaa akaniambia ila nikihitaji msaada atanisaidia tukarudi ndani, tumekaa tena kama dakika kumi akasema tena humu ndani ni pazito hadi jasho limenitoka ni pazito sana hapa inabidi pazindikwe,
Duh story zikaendelea baada ya mda akaniambia nimuoneshe chooni anataka kwenda nikamielekeza alipotoka chooni akarudi ananiambia chooni kwako ni pachafu sana kuna vitu umetegewa!
Kwakweli mi sikumuelewa but ile namsindikiza akaniambia eti nataka kunisaidia anipe dawa ya kuoga nyingine ya kuweka ndan, nyingine anichanje halafu anipe hirizi nifunge ndani,
Duh kwakweli mimi nikamkubalia kinafiki lakini moyo wangu ulisita maana mambo ya kufuga hirizi mi kwakweli hapana sijawai kuyafanya tangu kuzaliwa kwangu,
Halafu then ninunue wembe kabisa jamaa aje anichanje chale? Nikaona hii hapana
Sasa jamaa tangu siku hiyo ananisumbua sana kila mda ananitafuta eti anataka aje kunitengenezea madude,
Amenikomalia sana aisee na hata leo jioni kanitafuta anataka aje nikamwambia nimetoka sipo!
Sasa mi najiuliza huyu anataka kunisaidia au kunipandikizia vitu vyake?
Ushauri wenu jamani huyu mtu nimfanyeje au nimpe mabango asinirudie tena?
NB: huyu jamaa alihamishwa kwenye kituo chake cha kwanza cha kazi maana alikua hapatani na wafanyakazi wenzake walikua wakimshutumu kuwa ni mchawi! Sasa nikilinganganisha tuhuma zake za awali nahisi kabisa jamaa anataka kunipandikizia vitu vyake
dah shukrani mkuuUsijaribu kabisa....tena kuanzia sasa anza kusali sana na kamwe usichoke kuomba Mungu juu ya huyo jamaa maan inaonyesha sio mtu mzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa nimecheka sana..... ila watu wamekua wamumini wa ushirikina mnoo hata ukiwaambia ni mbwa watakataa watalazimisha ni fisimjomba angu alikuwa anatembea na fisi kwenye sanduku, tulimwogopa sana, kumbe alikuwa mbwa aina ya german shepherd alipewa na mishenari wa kizungu wakati anafanya kazi za ulinzi na shamba boy, kwa ujanja akamfungia ndani watu akawa anawazuga ni fisi.
Hahahahaha duniani kuna mamboKuna jamaa alimwambia mshikaji wangu kuwa kama mkewake hatulii ampeleke msata kwa mganga amtulize ,juzi kati nimeambiwa na jamaa kuwa yule mshikaji aliyetaka anipeleke kwa mganga naye mkewe kamkimbia
Haya mambo huwa ya hovyo sana
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
One big rule law. Usimkaribishe mfanyakazi mwenzako kwako. Por favor! من فضلك. S'il vous plaîtKuna jamaa mmoja ni mfanyakazi mwenzangu japo hatufanyii kazi sehemu moja na hatukua na mazoea sana japo tulifahamiana maana mara kwa mara tumekua tukikutana kwenye vikao vya pamoja ambavyo hutokea mara chache tu kwa mwaka,
Sasa ilikua ijumaa iliyopita yule bwana tulikutana tena hapa ilikua ni kwenye kikao tena,
Sasa mida ile tunaondoka tukapanda gari moja kurudi makwetu nikajikuta napiga nae stori mbili tatu hadi nikamkaribisha nyumbani kwangu apaone,
Na yeye hakusita kweli akaja kwangu sasa ajabu alipofika ndani akakaa kidogo akatoka nje akaniita nilipotoka nje akaniambia hapa nyumbani kwako ni pachafu sana!
Mi nikashangaa nilikua sijamuelewa nikamwambia labda waifu leo hakufanya usafi, jamaa akaniambia hamaanishi hivyo ye anamaanisha nyumbani kwangu pametegwa madawa ya kichawi duh nilishangaa kusikia hivyo,
Jamaa akaniambia ila nikihitaji msaada atanisaidia tukarudi ndani, tumekaa tena kama dakika kumi akasema tena humu ndani ni pazito hadi jasho limenitoka ni pazito sana hapa inabidi pazindikwe,
Duh story zikaendelea baada ya mda akaniambia nimuoneshe chooni anataka kwenda nikamielekeza alipotoka chooni akarudi ananiambia chooni kwako ni pachafu sana kuna vitu umetegewa!
Kwakweli mi sikumuelewa but ile namsindikiza akaniambia eti nataka kunisaidia anipe dawa ya kuoga nyingine ya kuweka ndan, nyingine anichanje halafu anipe hirizi nifunge ndani,
Duh kwakweli mimi nikamkubalia kinafiki lakini moyo wangu ulisita maana mambo ya kufuga hirizi mi kwakweli hapana sijawai kuyafanya tangu kuzaliwa kwangu,
Halafu then ninunue wembe kabisa jamaa aje anichanje chale? Nikaona hii hapana
Sasa jamaa tangu siku hiyo ananisumbua sana kila mda ananitafuta eti anataka aje kunitengenezea madude,
Amenikomalia sana aisee na hata leo jioni kanitafuta anataka aje nikamwambia nimetoka sipo!
Sasa mi najiuliza huyu anataka kunisaidia au kunipandikizia vitu vyake?
Ushauri wenu jamani huyu mtu nimfanyeje au nimpe mabango asinirudie tena?
NB: huyu jamaa alihamishwa kwenye kituo chake cha kwanza cha kazi maana alikua hapatani na wafanyakazi wenzake walikua wakimshutumu kuwa ni mchawi! Sasa nikilinganganisha tuhuma zake za awali nahisi kabisa jamaa anataka kunipandikizia vitu vyake
Kuna jamaa mmoja ni mfanyakazi mwenzangu japo hatufanyii kazi sehemu moja na hatukua na mazoea sana japo tulifahamiana maana mara kwa mara tumekua tukikutana kwenye vikao vya pamoja ambavyo hutokea mara chache tu kwa mwaka,
Sasa ilikua ijumaa iliyopita yule bwana tulikutana tena hapa ilikua ni kwenye kikao tena,
Sasa mida ile tunaondoka tukapanda gari moja kurudi makwetu nikajikuta napiga nae stori mbili tatu hadi nikamkaribisha nyumbani kwangu apaone,
Na yeye hakusita kweli akaja kwangu sasa ajabu alipofika ndani akakaa kidogo akatoka nje akaniita nilipotoka nje akaniambia hapa nyumbani kwako ni pachafu sana!
Mi nikashangaa nilikua sijamuelewa nikamwambia labda waifu leo hakufanya usafi, jamaa akaniambia hamaanishi hivyo ye anamaanisha nyumbani kwangu pametegwa madawa ya kichawi duh nilishangaa kusikia hivyo,
Jamaa akaniambia ila nikihitaji msaada atanisaidia tukarudi ndani, tumekaa tena kama dakika kumi akasema tena humu ndani ni pazito hadi jasho limenitoka ni pazito sana hapa inabidi pazindikwe,
Duh story zikaendelea baada ya mda akaniambia nimuoneshe chooni anataka kwenda nikamielekeza alipotoka chooni akarudi ananiambia chooni kwako ni pachafu sana kuna vitu umetegewa!
Kwakweli mi sikumuelewa but ile namsindikiza akaniambia eti nataka kunisaidia anipe dawa ya kuoga nyingine ya kuweka ndan, nyingine anichanje halafu anipe hirizi nifunge ndani,
Duh kwakweli mimi nikamkubalia kinafiki lakini moyo wangu ulisita maana mambo ya kufuga hirizi mi kwakweli hapana sijawai kuyafanya tangu kuzaliwa kwangu,
Halafu then ninunue wembe kabisa jamaa aje anichanje chale? Nikaona hii hapana
Sasa jamaa tangu siku hiyo ananisumbua sana kila mda ananitafuta eti anataka aje kunitengenezea madude,
Amenikomalia sana aisee na hata leo jioni kanitafuta anataka aje nikamwambia nimetoka sipo!
Sasa mi najiuliza huyu anataka kunisaidia au kunipandikizia vitu vyake?
Ushauri wenu jamani huyu mtu nimfanyeje au nimpe mabango asinirudie tena?
NB: huyu jamaa alihamishwa kwenye kituo chake cha kwanza cha kazi maana alikua hapatani na wafanyakazi wenzake walikua wakimshutumu kuwa ni mchawi! Sasa nikilinganganisha tuhuma zake za awali nahisi kabisa jamaa anataka kunipandikizia vitu vyake
Kaombe msaada kanisani/msikitini waje wakuombee.Ila hujasema anatoka mkoa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app