Nahisi mfanyakazi mwenzangu ana njama za kuniroga, naombeni ushauri wenu

Yani mpaka sasa nafanya kazi ya kumkwepa ila jamaa kila mda ananipigia simu aje!
Nahisi kifuatacho ataanza ziara za kushtukiza kwangu
🤣🤣🤣🤣 wewe unaonekana mwogamwoga sana, usije ikimbia tu nyumba, hivi unashindwa nini tu kukataa!!
 
Kuna jamaa mmoja ni mfanyakazi mwenzangu japo hatufanyii kazi sehemu moja na hatukua na mazoea sana japo tulifahamiana maana mara kwa mara tumekua tukikutana kwenye vikao vya pamoja ambavyo hutokea mara chache tu kwa mwaka,

Sasa ilikua ijumaa iliyopita yule bwana tulikutana tena hapa ilikua ni kwenye kikao tena,

Sasa mida ile tunaondoka tukapanda gari moja kurudi makwetu nikajikuta napiga nae stori mbili tatu hadi nikamkaribisha nyumbani kwangu apaone,

Na yeye hakusita kweli akaja kwangu sasa ajabu alipofika ndani akakaa kidogo akatoka nje akaniita nilipotoka nje akaniambia hapa nyumbani kwako ni pachafu sana!

Mi nikashangaa nilikua sijamuelewa nikamwambia labda waifu leo hakufanya usafi, jamaa akaniambia hamaanishi hivyo ye anamaanisha nyumbani kwangu pametegwa madawa ya kichawi duh nilishangaa kusikia hivyo,

Jamaa akaniambia ila nikihitaji msaada atanisaidia tukarudi ndani, tumekaa tena kama dakika kumi akasema tena humu ndani ni pazito hadi jasho limenitoka ni pazito sana hapa inabidi pazindikwe,

Duh story zikaendelea baada ya mda akaniambia nimuoneshe chooni anataka kwenda nikamielekeza alipotoka chooni akarudi ananiambia chooni kwako ni pachafu sana kuna vitu umetegewa!

Kwakweli mi sikumuelewa but ile namsindikiza akaniambia eti nataka kunisaidia anipe dawa ya kuoga nyingine ya kuweka ndan, nyingine anichanje halafu anipe hirizi nifunge ndani,

Duh kwakweli mimi nikamkubalia kinafiki lakini moyo wangu ulisita maana mambo ya kufuga hirizi mi kwakweli hapana sijawai kuyafanya tangu kuzaliwa kwangu,
Halafu then ninunue wembe kabisa jamaa aje anichanje chale? Nikaona hii hapana

Sasa jamaa tangu siku hiyo ananisumbua sana kila mda ananitafuta eti anataka aje kunitengenezea madude,
Amenikomalia sana aisee na hata leo jioni kanitafuta anataka aje nikamwambia nimetoka sipo!

Sasa mi najiuliza huyu anataka kunisaidia au kunipandikizia vitu vyake?

Ushauri wenu jamani huyu mtu nimfanyeje au nimpe mabango asinirudie tena?


NB: huyu jamaa alihamishwa kwenye kituo chake cha kwanza cha kazi maana alikua hapatani na wafanyakazi wenzake walikua wakimshutumu kuwa ni mchawi! Sasa nikilinganganisha tuhuma zake za awali nahisi kabisa jamaa anataka kunipandikizia vitu vyake
Achana nae anataka akupige hela huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa mmoja ni mfanyakazi mwenzangu japo hatufanyii kazi sehemu moja na hatukua na mazoea sana japo tulifahamiana maana mara kwa mara tumekua tukikutana kwenye vikao vya pamoja ambavyo hutokea mara chache tu kwa mwaka,

Sasa ilikua ijumaa iliyopita yule bwana tulikutana tena hapa ilikua ni kwenye kikao tena,

Sasa mida ile tunaondoka tukapanda gari moja kurudi makwetu nikajikuta napiga nae stori mbili tatu hadi nikamkaribisha nyumbani kwangu apaone,

Na yeye hakusita kweli akaja kwangu sasa ajabu alipofika ndani akakaa kidogo akatoka nje akaniita nilipotoka nje akaniambia hapa nyumbani kwako ni pachafu sana!

Mi nikashangaa nilikua sijamuelewa nikamwambia labda waifu leo hakufanya usafi, jamaa akaniambia hamaanishi hivyo ye anamaanisha nyumbani kwangu pametegwa madawa ya kichawi duh nilishangaa kusikia hivyo,

Jamaa akaniambia ila nikihitaji msaada atanisaidia tukarudi ndani, tumekaa tena kama dakika kumi akasema tena humu ndani ni pazito hadi jasho limenitoka ni pazito sana hapa inabidi pazindikwe,

Duh story zikaendelea baada ya mda akaniambia nimuoneshe chooni anataka kwenda nikamielekeza alipotoka chooni akarudi ananiambia chooni kwako ni pachafu sana kuna vitu umetegewa!

Kwakweli mi sikumuelewa but ile namsindikiza akaniambia eti nataka kunisaidia anipe dawa ya kuoga nyingine ya kuweka ndan, nyingine anichanje halafu anipe hirizi nifunge ndani,

Duh kwakweli mimi nikamkubalia kinafiki lakini moyo wangu ulisita maana mambo ya kufuga hirizi mi kwakweli hapana sijawai kuyafanya tangu kuzaliwa kwangu,
Halafu then ninunue wembe kabisa jamaa aje anichanje chale? Nikaona hii hapana

Sasa jamaa tangu siku hiyo ananisumbua sana kila mda ananitafuta eti anataka aje kunitengenezea madude,
Amenikomalia sana aisee na hata leo jioni kanitafuta anataka aje nikamwambia nimetoka sipo!

Sasa mi najiuliza huyu anataka kunisaidia au kunipandikizia vitu vyake?

Ushauri wenu jamani huyu mtu nimfanyeje au nimpe mabango asinirudie tena?


NB: huyu jamaa alihamishwa kwenye kituo chake cha kwanza cha kazi maana alikua hapatani na wafanyakazi wenzake walikua wakimshutumu kuwa ni mchawi! Sasa nikilinganganisha tuhuma zake za awali nahisi kabisa jamaa anataka kunipandikizia vitu vyake
Whether huyo jamaa yako yuko sahihi ama la, ninakuamuru uende Kanisani. Ni amri, siyo ombi
 
mjomba angu alikuwa anatembea na fisi kwenye sanduku, tulimwogopa sana, kumbe alikuwa mbwa aina ya german shepherd alipewa na mishenari wa kizungu wakati anafanya kazi za ulinzi na shamba boy, kwa ujanja akamfungia ndani watu akawa anawazuga ni fisi.
Hahahaaa nimecheka sana..... ila watu wamekua wamumini wa ushirikina mnoo hata ukiwaambia ni mbwa watakataa watalazimisha ni fisi
Baadhi ya sisi waenda misikitini na makanisani nako siku hizi tunakutana na chàngamoto, wahubiri wetu wamekua watu wa kuutukuza, kuuhubiri, na kuupaisha uchawi zaidi ya Mungu. Utasikia baadhi ya Wachungaji na mashehe wakihubiri kuhusu uchawi na mashetani yanavyowafanya watu wasiwe matajiri tuu, yaani kutishiana tuu.... Unaenda kusali ukitoka huko unaanza kuwaza uchawi baadala kuwaza pepo ufalme wa Mungu
 
Kuna jamaa mmoja ni mfanyakazi mwenzangu japo hatufanyii kazi sehemu moja na hatukua na mazoea sana japo tulifahamiana maana mara kwa mara tumekua tukikutana kwenye vikao vya pamoja ambavyo hutokea mara chache tu kwa mwaka,

Sasa ilikua ijumaa iliyopita yule bwana tulikutana tena hapa ilikua ni kwenye kikao tena,

Sasa mida ile tunaondoka tukapanda gari moja kurudi makwetu nikajikuta napiga nae stori mbili tatu hadi nikamkaribisha nyumbani kwangu apaone,

Na yeye hakusita kweli akaja kwangu sasa ajabu alipofika ndani akakaa kidogo akatoka nje akaniita nilipotoka nje akaniambia hapa nyumbani kwako ni pachafu sana!

Mi nikashangaa nilikua sijamuelewa nikamwambia labda waifu leo hakufanya usafi, jamaa akaniambia hamaanishi hivyo ye anamaanisha nyumbani kwangu pametegwa madawa ya kichawi duh nilishangaa kusikia hivyo,

Jamaa akaniambia ila nikihitaji msaada atanisaidia tukarudi ndani, tumekaa tena kama dakika kumi akasema tena humu ndani ni pazito hadi jasho limenitoka ni pazito sana hapa inabidi pazindikwe,

Duh story zikaendelea baada ya mda akaniambia nimuoneshe chooni anataka kwenda nikamielekeza alipotoka chooni akarudi ananiambia chooni kwako ni pachafu sana kuna vitu umetegewa!

Kwakweli mi sikumuelewa but ile namsindikiza akaniambia eti nataka kunisaidia anipe dawa ya kuoga nyingine ya kuweka ndan, nyingine anichanje halafu anipe hirizi nifunge ndani,

Duh kwakweli mimi nikamkubalia kinafiki lakini moyo wangu ulisita maana mambo ya kufuga hirizi mi kwakweli hapana sijawai kuyafanya tangu kuzaliwa kwangu,
Halafu then ninunue wembe kabisa jamaa aje anichanje chale? Nikaona hii hapana

Sasa jamaa tangu siku hiyo ananisumbua sana kila mda ananitafuta eti anataka aje kunitengenezea madude,
Amenikomalia sana aisee na hata leo jioni kanitafuta anataka aje nikamwambia nimetoka sipo!

Sasa mi najiuliza huyu anataka kunisaidia au kunipandikizia vitu vyake?

Ushauri wenu jamani huyu mtu nimfanyeje au nimpe mabango asinirudie tena?


NB: huyu jamaa alihamishwa kwenye kituo chake cha kwanza cha kazi maana alikua hapatani na wafanyakazi wenzake walikua wakimshutumu kuwa ni mchawi! Sasa nikilinganganisha tuhuma zake za awali nahisi kabisa jamaa anataka kunipandikizia vitu vyake
One big rule law. Usimkaribishe mfanyakazi mwenzako kwako. Por favor! من فضلك. S'il vous plaît
 
Kuna jamaa mmoja ni mfanyakazi mwenzangu japo hatufanyii kazi sehemu moja na hatukua na mazoea sana japo tulifahamiana maana mara kwa mara tumekua tukikutana kwenye vikao vya pamoja ambavyo hutokea mara chache tu kwa mwaka,

Sasa ilikua ijumaa iliyopita yule bwana tulikutana tena hapa ilikua ni kwenye kikao tena,

Sasa mida ile tunaondoka tukapanda gari moja kurudi makwetu nikajikuta napiga nae stori mbili tatu hadi nikamkaribisha nyumbani kwangu apaone,

Na yeye hakusita kweli akaja kwangu sasa ajabu alipofika ndani akakaa kidogo akatoka nje akaniita nilipotoka nje akaniambia hapa nyumbani kwako ni pachafu sana!

Mi nikashangaa nilikua sijamuelewa nikamwambia labda waifu leo hakufanya usafi, jamaa akaniambia hamaanishi hivyo ye anamaanisha nyumbani kwangu pametegwa madawa ya kichawi duh nilishangaa kusikia hivyo,

Jamaa akaniambia ila nikihitaji msaada atanisaidia tukarudi ndani, tumekaa tena kama dakika kumi akasema tena humu ndani ni pazito hadi jasho limenitoka ni pazito sana hapa inabidi pazindikwe,

Duh story zikaendelea baada ya mda akaniambia nimuoneshe chooni anataka kwenda nikamielekeza alipotoka chooni akarudi ananiambia chooni kwako ni pachafu sana kuna vitu umetegewa!

Kwakweli mi sikumuelewa but ile namsindikiza akaniambia eti nataka kunisaidia anipe dawa ya kuoga nyingine ya kuweka ndan, nyingine anichanje halafu anipe hirizi nifunge ndani,

Duh kwakweli mimi nikamkubalia kinafiki lakini moyo wangu ulisita maana mambo ya kufuga hirizi mi kwakweli hapana sijawai kuyafanya tangu kuzaliwa kwangu,
Halafu then ninunue wembe kabisa jamaa aje anichanje chale? Nikaona hii hapana

Sasa jamaa tangu siku hiyo ananisumbua sana kila mda ananitafuta eti anataka aje kunitengenezea madude,
Amenikomalia sana aisee na hata leo jioni kanitafuta anataka aje nikamwambia nimetoka sipo!

Sasa mi najiuliza huyu anataka kunisaidia au kunipandikizia vitu vyake?

Ushauri wenu jamani huyu mtu nimfanyeje au nimpe mabango asinirudie tena?


NB: huyu jamaa alihamishwa kwenye kituo chake cha kwanza cha kazi maana alikua hapatani na wafanyakazi wenzake walikua wakimshutumu kuwa ni mchawi! Sasa nikilinganganisha tuhuma zake za awali nahisi kabisa jamaa anataka kunipandikizia vitu vyake

Wala usimsalimie!
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom