The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 966
- 970
Mkuu gharama za kupiga simu ndani ya mwezi huu zimepanda sana,sasa kama ulikuwa unatuma vocha 1000/=alikuwa anawapigia shosti zake,ndugu,pamoja na wewe mwenye moyo wake kwa sasa itakuwa haitoshi hivyo ongeza bajeti ya vocha kiongozi na mambo yatakuwa kama mstari.