Nahisi Limbwata muda mwingine ni ku pretend au kuna vichwa haziwashiki, sijawai ona mzungu alopewa limbwata na mbongo

Nahisi Limbwata muda mwingine ni ku pretend au kuna vichwa haziwashiki, sijawai ona mzungu alopewa limbwata na mbongo

mkuu hayajakukuta niliishi manyoni singida kwa miezi sita bila kujijua.ilikuwa Kama ndoto iliyojaa mahaba sku hyo akili inanijia nlikuwa niko chini ya mti mkubwa nilaamua kupumzika nipate kivuli baadae akili zinakuja kumbe yule manzi nliekuwa naishi nae pale ni kwake halafu niko mkoani mwake swali lakujiuliza nilifikaje kwake wakati nlkutana nae mkoan kwangu nikatongoza Kama demu wa kuzugia nahisi yule bibie alinipenda kweli na alijua simuhitaj ilibidi ahame na Mimi baada ya kun'gatuka palepale hata viatu sjui nltupa wapi ila skurud kwa Yule manzi ilibidi nidandie fuso wanibebe kishkaji lilikuwa linatoka shinyanga nililikuta pale singida town stendi bahat nzuri lilikuwa linaenda tanga kwa hyo nikafika Home kila mtu alinishangaa nlkuwa wap miezi yote sipatikani wengine walijua nimepotea huu sjui ni uchawi sjui ni limbwata maana Yule nilianza kumpenda kwelikweli hakutaka nitoke hata nje sku hyo nlivyotoka ndo ilikuwa salama yangu laasivyo ningeoa na kutokomea huko kabisa wakazi wa tanga kuna ule unaitwa kupigwa "kipapai" nazani naufananisha na huu

onyo tuwe makini, tufanye ibada tusiwe waongo kama huna mpango nae usimpotezee mda mwambie ukweli ila haimaanishi nitaacha kudanganya maana nshakutana na vitimbwili zaidi ya hivi

samahani kwa uzi wangu mrefu ulikuwa ni ushuhuda tu
Dah
 
Back
Top Bottom