mtoto wa kipare
Senior Member
- Jan 3, 2018
- 187
- 196
- Thread starter
- #21
Mind your business lubukuzo. Kama huna la kuchangia we pita kimya kimya.kwahiyo ww ndo mtetezi wa wazinifu?
Mind your business lubukuzo. Kama huna la kuchangia we pita kimya kimya.kwahiyo ww ndo mtetezi wa wazinifu?
Sawa sawa nimekuelewa mkuu.Pole sana binti mwenye mawazo ambayo kikweli yanavuruga. Jali afya yako Kwanza, mtoto ni majaliwa ya mwenyenzi Mungu. Mbona wapo wengi tu ambao hawana mtoto hata mmoja na wanaishi maisha mazuri!
Sikushauri ubebe ujauzito tena kwa hali uliyonayo kwa sasa. Laiti ungekua mke/mchumba wangu tu nisingekubali uendelee kuteseka hadi wakati huu. Nenda kapate tiba mapema iwezekanavyo, afya yako haina spea. Mawazo uliyonayo ukichukua ujauzito ni kusogeza kifo karibu
Sawa MadamMaadam unaye mtoto tayari sioni haja ya kuweka rehani maisha yako...kuhusu kuzaa bila hata kujua unazaa na nani mie siafiki hilo...jali afya yako kwanza mkuu
Hivi unaomba ushauri au unahitaji mbegu?Sawa sawa mpendwa.
Ni ushauri tu QUIGLEYHivi unaomba ushauri au unahitaji mbegu?
Nyoosha maelezo mtoto wa Kipare
Ishi maisha yako, kama una uwezo wa kulea watoto wako bila mume na unaona hii ndiyo fursa yako ya kuongeza mtoto fanya hivyo.Ni ushauri tu QUIGLEY
Haya mkuu nimekuelewa ila lazima uangalie mara mbili mbili kabla ya kutenda na sio kukurupuka.Ishi maisha yako, kama una uwezo wa kulea watoto wako bila mume na unaona hii ndiyo fursa yako ya kuongeza mtoto fanya hivyo.
Mume anaweza kukuacha lkn watoto wako siku zote watakuwa furaha yako.
Zaa mtoto wa kipare
Amen.Rudi kwa Mungu anaweza kukusaidia, yeye huanzia pale ambapo akili za kibinadamu kufikia ukomo.. Mtafute yeye kwa imani anaweza kukusaidia..
Ni kweli lkn hapa sio ridhaa yako, tatizo ndilo linakusukuma ufanye hivyoHaya mkuu nimekuelewa ila lazima uangalie mara mbili mbili kabla ya kutenda na sio kukurupuka.
Uko sahihi mkuu.Ni kweli lkn hapa sio ridhaa yako, tatizo ndilo linakusukuma ufanye hivyo
Ok yna12 nashukuru sana kwa ushauri mpendwa.Pole dear..tafuta mlonge ukaushe usage unywe..unauwezo wa kusambaratisha uvimbe kwa kiasi kikubwa sana
Hata wewe still ofa ipo open just come PM tuyajengeVivulana vya dar
(vilivyofika stage ya mwisho kabla ya kuwa shoga kamili)
Shukrani sanaMungu yupo nawe