bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,456
- 12,666
Wanaume tumebaki wachache aisei..! Yaani leo angejua kwanini nyoka alinyimwa matakomWewe ni mpole kiasi hicho mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume tumebaki wachache aisei..! Yaani leo angejua kwanini nyoka alinyimwa matakomWewe ni mpole kiasi hicho mkuu?
Hahahah kmamamae yani huyo mbuzi angekwa kigezo cha mie kuvaa jezi za rangi ya karoti. Ningepiga hadi huo ulimi mchafu ung'oke mdomoni!Kuna kaka aliombwa na mkewe fedha mwanaume akamjibu hana, mkewe akamwambie si ukauze hayo matako! Yule kaka anadai kuwa alipofanikiwa kuchomoka hapo nyumbani hakuwahi kurudi tena.
Hizi mbishe zinatokea mwanaume ukiwa weak kiuchumi na mkeo anaku compare na wenzio wanaokuzunguka ambao wamekuzidi. Sio siri anakuona mbwa kweli yani hilo neno halijamtoka bure. Kuna kitu hakiko sawa juu yako!Ndio shida ya kuwa marioo " .... kama ungekuwa wewe ndiye msimamizi wa uchumi hapo kwenu mkeo asinge thubutu kunyanyua kinywa chake na kukwambia huo ujinga" ...
Kama sio marioo halafu amekujibu huo utumbo mkuu shtuka umeshaanza kuchapiwa na mwanaume anaye mchapa amemjaza ujinga unao mfanya akudharau " ....
Mrudishe kwao japo mwezi 1 kwanza ili awe na adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi imekushinda mpaka kwa dada? Bado unajiita mume?