Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 3,971
- 4,479
Yaani mwenyewe nmecheka, yaani chochote atakachoambiwa na mkewe awe anajibu/kuitikia kwa kubweka tu
Akitaka kumwita mkewe anamwita,"MKE WA MBWA..!!!" Huku amabweka
Yaani mwenyewe nmecheka, yaani chochote atakachoambiwa na mkewe awe anajibu/kuitikia kwa kubweka tu
Sasa kuitwa mbwa unataka kuua mtuMke wangu kanitukana mbwa asubuhi hii bila kosa lolote.kisa kutoa ushauri baada kushindwa kuelewana na ndugu kwa madogo ya kutoa elimu. Baada mimi kuingilia kwa kutoa ushauri kama baba wa nyumba nimeambulia kutukanwa mbwa kwa kweli nimekosa raha sana nawaza hata kosa langu sijui.
Mungu atie nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo namshangaa huyo aliyekua anataka nimtimue mwanamke mwenzie usiku, nadhani ni upeo mdogo wankufikiri alionao ndo sababu ya kuniona bushoke ila angejua wanaume tunavyotumia akili sidhani kama angesema hivyoUsiku isingekuwa busara kumfukuza hata kama ungekuwa umepata cha arusha yaani hata mie ningekushangaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama mjamzito anaingia period, pia hata kama angekuwa period ningekuwa najua tu
Katika watu ambao wanapenda kufanya matukio ya ajabu basi mimi ni mmoja wao,
Kuna kipindi wakati ni wapenzi aliwahi kuniambia yupo period nikamwambia ngoja nihakikishe, nikaingiza mkono sehemu husika na kuchovya kidole kikatoka na damu, tangu siku hiyo akaniona monster
Tatizo ana mikwara sanaSasa MADAM T ulitaka amfukuze usiku hata kama kamkosea alikuwa bado mkewe na mpaka sasa mkewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna thread jamaa aliomba ushauri kuhusu mke wake wa ndoa kuwa anamjibu maneno ya kejeli, huu hapa chini ndiyo ushauri uliotoa:-
Ninategemea wewe kama mwanaume unajua cha kufanya.
Mie juzi nimetukanwa kosa sioni nimeamua kulewa tuMke wangu kanitukana mbwa asubuhi hii bila kosa lolote.kisa kutoa ushauri baada kushindwa kuelewana na ndugu kwa madogo ya kutoa elimu. Baada mimi kuingilia kwa kutoa ushauri kama baba wa nyumba nimeambulia kutukanwa mbwa kwa kweli nimekosa raha sana nawaza hata kosa langu sijui.
Mungu atie nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nashaur anywe juic ya tikiti ili ampge miti vizurNa wewe bana, ingekuwa mimi hapo ni action tuu, kama movie la kichina, sasa unakuja kulalama huku, aaaaaah au wewe mvulana aisee
Kwa hapa unaona nina mikwara, ila ki uhalisia utaniona nina ROHO MBAYA, KATILI, GAIDI, Yaani utaniita majina yote mabaya, maana nikikasirika huwa siongei sana ni vitendo tuTatizo ana mikwara sana
Mama Mrundi, Baba Mdigo
Jiuwearamoja!Mke wangu kanitukana mbwa asubuhi hii bila kosa lolote.kisa kutoa ushauri baada kushindwa kuelewana na ndugu kwa madogo ya kutoa elimu. Baada mimi kuingilia kwa kutoa ushauri kama baba wa nyumba nimeambulia kutukanwa mbwa kwa kweli nimekosa raha sana nawaza hata kosa langu sijui.
Mungu atie nguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaaa nimecheka kwa sauti . naomba JF developers mtuwekee vi emoji kama vya kucheka, huzuni, kulia nk.Inaoneka Huwa Anakupiga Wakati Mwingine, Nenda Dawati La Jinsia Watakupa Msaada!
Eti nisubiri ningekuwa mimi angejua kwanini nyoka alinyimwa matako mshenzi sana..!Alikua kwenye hasira tu labda. Subiri siku siku hasira zenu wote zimepoa kisha umweleze ulivyokwazika. Kama ana busara atakuomba msamaha. Asipokuomba msamaha ulikosea kuoa