FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Pole sana Endelea kuomba kwa bidii utampata tu akupendae na utampenda ..
Muda nao naona ..
Muda nao naona ..
Huwezi jua anatumia kigezo cha Bible.kwenye Bible hata uwe bibi kizee wewe ni binti tu( binti sayuni).
Na zaidi ya hapo mimi huwa naangalia sana tamthilia.Huwa naona wenzetu wazungu akiwa na mpenzi hawajafunga ndoa ni girlfrien/boyfriend hata kama wana 50 na kuendelea.
Jmani AK hivi wazungu na sisi waafrika nani kadata zaidi? sisi ndo tumechanganyikiwa,na ndio maana tunanuka umasikini.Kwa hiyo tukuballi tu wametuzidi.tukirudi kwenye binti kigezo chako ni nini? sometime huwa natumia physical appearance na kukuta mwenye miaka 20 choka mbaya ameshazeeka anaamkiwa shikamoo kibao .lakini mwenye miaka 40 bado bintii kabisa.wazungu si wote walishadata kila mtu anaajua???????????????.................. lets be fair hakuna girl wa miaka 28!!!!!!!!
I'm a girl with 28yrs.
Ukinipa ushauri wa busara nitashukuru sana......
Jaman asanteni sana kwa ushauri wenu mpaka sasa hivi nimepata ahueni...
Thanks all mliochangia hii mada...sitafuti mume natafuta tuu rafiki mume ni majaliwa!!!nimekuwa mno mkimya sijui hii tabia ni kuzaliwa nayo au vipi kwa kweli kujichanganya si mpenzi sana ila itabidi nijitahidi, huwa napenda sana kuwa buzy ofisini nikirudi home nakua busy kuaangalia movie/kusoma novel...mitoko hua sipendelei...
Amen
btw hw r u n preta??? mis u cuties jamani!!!
Wahenga wanasema mficha uchi hazai...
Nimejisikia mno upweke soo "nahisi kupenda ila sijampata wa kumpenda bado" nifanyeje?? I'm a girl with 28yrs.
Ukinipa ushauri wa busara nitashukuru sana...
Asanteni...
Umeshindikana huko uliko? endelea kujitunza umapepe kipindi hiki haufai
Kwa nn usimwambie aje kwangu tule samaki jamani angalau paja la samaki.
Moto chini huenda huyo angalia kaka usije kuta makubwa huko! si kila samaki aliwa ati
Hahahaha kila kiumbe cha majini cha paswa kuliwa nala mpaka ngadu
Nani kakwambia anatafuta mume? Kasema anatafuta mtu wa kumpenda tu. Anaweza kuwa kaolewa, mumewe yuko mbali, kwa hiyo yuko lonely anatafuta kampani! Shtuka!
Ngadu babaake! Mmmhhhh hupitishi kitu wewe
Sasa kama uko busy na ofis-home-movie Kina romeo utawapataje? Jitahidi bana usijecommit suicide kwa ajili ya upweke.
Jaman asanteni sana kwa ushauri wenu mpaka sasa hivi nimepata ahueni...
Thanks all mliochangia hii mada...sitafuti mume natafuta tuu rafiki mume ni majaliwa!!!nimekuwa mno mkimya sijui hii tabia ni kuzaliwa nayo au vipi kwa kweli kujichanganya si mpenzi sana ila itabidi nijitahidi, huwa napenda sana kuwa buzy ofisini nikirudi home nakua busy kuaangalia movie/kusoma novel...mitoko hua sipendelei...
Jaman asanteni sana kwa ushauri wenu mpaka sasa hivi nimepata ahueni...
Thanks all mliochangia hii mada...sitafuti mume natafuta tuu rafiki mume ni majaliwa!!!nimekuwa mno mkimya sijui hii tabia ni kuzaliwa nayo au vipi kwa kweli kujichanganya si mpenzi sana ila itabidi nijitahidi, huwa napenda sana kuwa buzy ofisini nikirudi home nakua busy kuaangalia movie/kusoma novel...mitoko hua sipendelei...
Wahenga wanasema mficha uchi hazai...
Nimejisikia mno upweke soo "nahisi kupenda ila sijampata wa kumpenda bado" nifanyeje?? I'm a girl with 28yrs.
Ukinipa ushauri wa busara nitashukuru sana...
Asanteni...