Nahisi kuna njama za kukwamisha ufufuo wa NSSF

celinawetu

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
1,331
1,059
Kumekuwepo na jitihada za makusudi toka team dau za KUKWAMISHA mipango ya shirika tajwa hasa katika kukusanya pesa kwa vijana wa timu hiyo kususa kujituma ili ionekane uongozi mpya chini ya profesa wa ukweli,

hii ni pamoja na vijana waliopo ktk daraja kuacha vibanda bila mhudumu,nimepita zaidi ya Mara mbili na kukuta huduma ni vibanda viwili tu huku foleni ikiwa kubwa,nimedodosa kulikoni nikaambiwa ni mgomo ila kisingizio ni kuwa wanaenda kuswali,

unajiuliza hivi hakuna watu wengine ambao wanaweza kuwekwa pale ambao muda wao hauingiliani na imani zao? Nimejaribu sana kudukua hali ya Nssf kwa sasa naambiwa shirika kinaanza kufufuka na hali ya kifedha ni nzuri pamoja na timu hiyo kuleta figisu,kama ni kweli basi utawala ufikirie kuwaweka vijana hao sememu ambazo maslahi ya shirika hayataguswa ili UFUFUO ulete tija
 
Kumekuwepo na jitihada za makusudi toka team dau za KUKWAMISHA mipango ya shirika tajwa hasa katika kukusanya pesa kwa vijana wa timu hiyo kususa kujituma ili ionekane uongozi mpya chini ya profesa wa ukweli,hii ni pamoja na vijana waliopo ktk daraja kuacha vibanda bila mhudumu,nimepita zaidi ya Mara mbili na kukuta huduma ni vibanda viwili tu huku foleni ikiwa kubwa,nimedodosa kulikoni nikaambiwa ni mgomo ila kisingizio ni kuwa wanaenda kuswali,unajiuliza hivi hakuna watu wengine ambao wanaweza kuwekwa pale ambao muda wao hauingiliani na imani zao? Nimejaribu sana kudukua hali ya Nssf kwa sasa naambiwa shirika kinaanza kufufuka na hali ya kifadha ni nzuri pamoja na timu hyo kuleta figisu,kama ni kweli basi utawala ufikirie kuwaweka vijana hao sememu ambazo maslahi ya shirika hayataguswa ili UFUFUO ulete tija

Kwa hiyo timu moja ni ya Dr na nyingine ni ya Prof, JPM ni refa mzuri anajua thamani ya u Dr na u prof,
 
Acheni kulialia kwenye mitandao, fanyeni kazi tunataka kuwapima. Acheni visingizio kama mmeshindwa ondokeni ili Watanzania wenye uwezo washike nafasi.

Huu siyo muda wa kusikiliza propaganda za kishenzi na kutowajibika.

Kama wananchi tunataka kuona matokeo, kila mtumishi apimwe kwa kazi yake kulinganisha na matokeo ya kazi hiyo. Asiyeweza atolewe. Naona kama kunaujanja kama unataka kufanyika.
1. Kuwatoa kafara baadhi ya watu wasiowataka kwa kigezo cha timu fulani
2. Watendaji wameshindwa ku perform wanatafuta kichaka cha kujificha.

Fanyeni kazi tunasubiri matokeo.
 
Yawezekana hawa wakaanza kumhujumu maana walijua dau atabaki Nssf milele,hii ni baada ya hii taarifa nimechunguza kidogo kutoka vyanzo vyangu,kuna ka ukweli kidogo sasa huyu prof ahakikishe hiyo mianya ya surbotage anaifumua,hii timu dau mostly wako dar maana ofisi zote za dar ndo walijigawia kukaa na bushi wakapelekwa wagalatia,bado wanaamini dau atarudi nssf
 
Back
Top Bottom