Nahisi kuna jambo kubwa nyuma ya pazia ambalo uongozi wa juu wa Serikali, CCM na CHADEMA wanajua, wananchi hatulijui

Ni wazi mchezo wa siasa wa uchaguzi wa mwaka huu upo tofauti kabisa toka kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi!.

Wameunguliwa zaidi ya wabunge 50 wa upinzani ambapo hajawahi kutokea, uongozi wa Tume Juu mpaka wa chini wote wanatenda kazi kwa niaba ya Mwenyekiti & Mkurugenzi wa Tume ambao wote ni wateuliwa wa JPM.

Kwa mazingira yaliyopo ya huo uongozi CHADEMA kupata hata viti viwili vya ubunge ni sawa na ndoto ya mchana ila ukiwaangalia Lissu & Mbowe inaonekana kabisa wanajua hilo na inaonesha wana njia mbadala katika hilo. Je ni kitu gani wamekipanga? na watakifanikishaje?

Tukirudi upande wa Serikali na CCM kwa mazingira yaliyopo ni kama wanatumia kila njia kujua nini ambacho CHADEMA wanaki-plan, kitu ambacho inaonekana bado ni ngumu kung'amua.

Kingine kinacho nisumbua kichwa kwa nini CCM hawataki kabisa upinzani katika bunge lijalo?

Sote tunajua kuwa pamoja na wananchi wengi maelfu Ku support upinzani but kama hakuna kitu kitakacho intervene hamna mbunge wa upinzani hata moja Tanzania bara 1 atakayekwenda Bungeni.


Mkuu ukiangalia Trend yao vizuri utaona kuwa Wapinzani hasa Tundu Lissu graph yake inaendelea kupanda na kujitanua kila pale anapopata upenyo wa kufanya hivyo akitumia zaidi majukwaa na Social Media zilizo huru ambapo utakuta yeye na supporters wake kuna wakati wanatafsiri kwa kingeereza mambo kadhaa ili wanaoitwa mabeberu wajue kila kinachoendelea

Kwa upande wa chama tawala wao ni kama vile bado wana test mitambo ambayo iliwahi kutumika na wanapoona sasa mahala fulani hapafanyi kazi kwa ufanisi basi huanza kufanya marekebisho kitu ambacho kinawachelewesha kwani mda ni mchache sana na imekuwa kila wakitia mguu wanaona kama maji ni mengi lakini wanaamini vyombo vyao vitasaidia na watavuka

Tatizo ambalo wengi hatujalijua ni kwanini mabeberu hawajakaribishwa lakini wapo karibu sana na uchaguzi huu kiasi ambacho tunaweza kusema kuwa safari hii kuna jicho la tatu? safari hii wote wote wanadukuana kama kawaida na hawana wasi wasi kila mmoja akitegemea kile alichopanda

Mwisho huu ukimya wa watawala kwa huyu Tundu Lissu sio bure kuna kitu wanakijua ndio maana kila mara wamekuwa watu wa kujiuliza s ingawa Tume ya uchaguzi nayo imeelekea kuwa na shingo ngumu kwa kuingia mchezoni bila PPE
 
View attachment 1593471
Huyu jamaa haamini kumuona mtu aliyepigia kelele kitambulisho cha mmachinga akiwa sokoni live.
Ukikaa kimya hata kama ni mpumbavu kama ulivyo watu hawatajua upumbavu wako. Huyo mzee mtaji wa hivyo vifungashio alivyoshuka hauzidi elfu 3, akishauza akale na familia yake. Bado mtu kama huyo Mnataka 20000 yake. Ni lini mtu kama huyo atamiliki elfu 20 ya pamoja? Kwa nini asimuengalie Lissu kama muujiza kwa jinsi anavyojinasibu kutoa vitambulisho hivyo bureeeee?
 
Hivi nyinyi mnaoweka matumaini yenu kwa sijui amsterdam,sijui marekani atakuja mnajitambua kweli?,bila shaka nyinyi ni wanawake(mnaojiuza) tu na ndio maana mlishikwa akili na mdada mwenzenu wa insta
Kabisa tena hawainui Tz kabisa
 
Mahakama itaamua
Mahakama haziko huru. Kuna mahakimu na majaji ambao wanaumia kufanya kazi kwenye mfumo usio huru, lakini hawana namna. Hakuna kesi itakayo kwenda mahakamani, tume imewekewa kinga ya kutoshitakiwa.
 
Kuna mmoja akishinda ataunganisha taifa kwa kupitia wabunge waliochaguliwa na wananchi na kutoka makundi mbalimbali ya jamii na Kuna mwingine akishinda atalazimisha viongozi wote wawe na itikikadi moja. Sasa hiyo hasi na chanya ndiyo vinasuguana Sasa kwa wapiga Kura.
 
Kuna mmoja akishinda ataunganisha taifa kwa kupitia wabunge waliochaguliwa na wananchi na kutoka makundi mbalimbali ya jamii na Kuna mwingine akishinda atalazimisha viongozi wote wawe na itikikadi moja. Sasa hiyo hasi na chanya ndiyo vinasuguana Sasa kwa wapiga Kura.
TUNAHITAJI KÙNGANISHWA KAMA TAIFA
 
Huwezi kuomba uongozi wa nchi kwa kutegemea dola za kigeni. Tangazeni sera zenye mvuto. Taarifa hizi zinathibitisha ajenda OVU mlizonazo dhidi ya nchi kwa kulinda maslahi ya mataifa ya nje. Watanzania sio wajinga wala hawahitaji kurudi utumwani. Tanzania Kwanza.. Mitano tena..
Kwa hiyo unamaanisha ccm ikishindwa uchaguzi watakabidhi madaraka sio.acha kutujaza ujinga wako hapa.lazima tupambane kwa kila hali, haki itapatikana kwa kila mbinu.mitano tena ukiwa chattle.
 
Huwezi kuomba uongozi wa nchi kwa kutegemea dola za kigeni. Tangazeni sera zenye mvuto. Taarifa hizi zinathibitisha ajenda OVU mlizonazo dhidi ya nchi kwa kulinda maslahi ya mataifa ya nje. Watanzania sio wajinga wala hawahitaji kurudi utumwani. Tanzania Kwanza.. Mitano tena..
Support ya ndani haikidhi vigezo, hivyo itatafutwa support ya nje.... ccm wakishatoka ndo tutaanza kuongoza nchi kwa principals.... na sifa za cdm mtahadithia vizazi na vizazi..... kama si leo basi kesho
 
Watangulizi walifanya harusi kwa michango ya marafiki na ndungu na hela zao za akiba wakatumia kwenye maendeleo, Mimi ninaamua kufanya harusi kwa hela za akiba nikitegemea marafiki na ndugu hawatagusa kwangu kamwe kwa vile hawajachanga kumbe watakuja maana nawategemea wakati wa misiba na magonjwa na pia kuniinua nikikwama.
 
Sera RAIA wameshazikubali na kura wanatoa
Sera zipi... hizi za kusema tutaweka nchi rehani, ama kwamba muiunge mkono chadema kitarudisha madaraka kwa wananchi kama enzi ya ukoloni!! Kweli nyinyi hamuhishi vituko!!
 
Mkuu ukiangalia Trend yao vizuri utaona kuwa Wapinzani hasa Tundu Lissu graph yake inaendelea kupanda na kujitanua kila pale anapopata upenyo wa kufanya hivyo akitumia zaidi majukwaa na Social Media zilizo huru ambapo utakuta yeye na supporters wake kuna wakati wanatafsiri kwa kingeereza mambo kadhaa ili wanaoitwa mabeberu wajue kila kinachoendelea

Kwa upande wa chama tawala wao ni kama vile bado wana test mitambo ambayo iliwahi kutumika na wanapoona sasa mahala fulani hapafanyi kazi kwa ufanisi basi huanza kufanya marekebisho kitu ambacho kinawachelewesha kwani mda ni mchache sana na imekuwa kila wakitia mguu wanaona kama maji ni mengi lakini wanaamini vyombo vyao vitasaidia na watavuka

Tatizo ambalo wengi hatujalijua ni kwanini mabeberu hawajakaribishwa lakini wapo karibu sana na uchaguzi huu kiasi ambacho tunaweza kusema kuwa safari hii kuna jicho la tatu? safari hii wote wote wanadukuana kama kawaida na hawana wasi wasi kila mmoja akitegemea kile alichopanda

Mwisho huu ukimya wa watawala kwa huyu Tundu Lissu sio bure kuna kitu wanakijua ndio maana kila mara wamekuwa watu wa kujiuliza s ingawa Tume ya uchaguzi nayo imeelekea kuwa na shingo ngumu kwa kuingia mchezoni bila PPE
Moja ya comment ya kibabe sana. Umepiga wote mkuu.
 
Ni wazi mchezo wa siasa wa uchaguzi wa mwaka huu upo tofauti kabisa toka kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi!.

Wameunguliwa zaidi ya wabunge 50 wa upinzani ambapo hajawahi kutokea, uongozi wa Tume Juu mpaka wa chini wote wanatenda kazi kwa niaba ya Mwenyekiti & Mkurugenzi wa Tume ambao wote ni wateuliwa wa JPM.

Kwa mazingira yaliyopo ya huo uongozi CHADEMA kupata hata viti viwili vya ubunge ni sawa na ndoto ya mchana ila ukiwaangalia Lissu & Mbowe inaonekana kabisa wanajua hilo na inaonesha wana njia mbadala katika hilo. Je ni kitu gani wamekipanga? na watakifanikishaje?

Tukirudi upande wa Serikali na CCM kwa mazingira yaliyopo ni kama wanatumia kila njia kujua nini ambacho CHADEMA wanaki-plan, kitu ambacho inaonekana bado ni ngumu kung'amua.

Kingine kinacho nisumbua kichwa kwa nini CCM hawataki kabisa upinzani katika bunge lijalo?

Sote tunajua kuwa pamoja na wananchi wengi maelfu Ku support upinzani but kama hakuna kitu kitakacho intervene hamna mbunge wa upinzani hata moja Tanzania bara 1 atakayekwenda Bungeni.


Miaka kumi wameshindwa kuplan kujenga ofisi yao wakati wanapata milioni 360 kama ruzuku kwa kila mwezi wataweza muda huu wakati wote ni choka mbaya
 
Mtu alielimika hawezi kuandika kama ulivyoandika wewe unayejiita Tigershark... ni bora wajinga wana nafasi ya kujirekebisha kuliko wapumbavu ambao hujiona wanajua kila kitu kiumbe ndio empty head. Kichwa pipa ubongo kama choroko...
umefanya vizuri kumjibu bila kum quote huyo kilaza 4G
 
Back
Top Bottom