Nahisi kumchoka lakini kumwambia nashindwa

elmagnifico

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
8,260
9,704
Nina mpenzi ambaye nimedumu naye kwa kipindi cha mwaka 1 na nusu hivi sasa. Lakini toka mwezi wa tatu nimetokea kupoteza ham ya mapenz juu yake. Yeye anaingia mwaka wa 3 sauti nami naingia mwaka wa 3 udom.
Najitahidi kutomwonesha lakini nashndwa. Tulikuwa tuna mazoea ya kuchat mda mwingi kila siku lakini hivi sasa akituma sms hata kumjibu naona tabu. Asipo nitafta ndo kabisa simtaft. Si kwamba nafanya makusudi lakini sina mapenz kabisa juu yake.
Nataman kumwambia ukweli lakini nahisi ntamuumiza sana kwa kuwa mpaka sasa anaumia kiasi kwamba kamwambia ndugu yangu na marafiki zangu naowafahamu kuwa anaumia kuona nimechange.
Kusema kweli yani akiniita honey au sweet au dear nahisi kukereka yani sitaki hata kusikia akiniita majina hayo.
Jamani naombeni ushauri wenu vipi nimwambie au nikae kimwa
 
Hii nayo kali. Kwa hiyo pale mwanzoni mlipoanza kulikuwa na nini? Au unataka kusema ile chemistry iliokuwapo awali imengia impurities?

Mwambie....
 
Hii nayo kali. Kwa hiyo pale mwanzoni mlipoanza kulikuwa na nini? Au unataka kusema ile chemistry iliokuwapo awali imengia impurities?<br />
<br />
Mwambie....
<br />
<br />
Daaah yani sielewi, mwanzo tulikuwa fresh tu lakin sijui wat is goin on with me. Na ajabu ni kwamba toka mwaka jan december sijamuona now tukolikizo yeye yuko mwanza ilibidi niende mwanza lakini nimetafta sababu nisiende kuepuka kukutana naye.
 
kweli mapenzi kizungu zungu- bila sababu yoyote u dont feel him/her anymore...the best way nikumwambia maana its more than six months!!
 
kweli mapenzi kizungu zungu- bila sababu yoyote u dont feel him/her anymore...the best way nikumwambia maana its more than six months!!
<br />
<br />
Ngoja nikusanye ushauri wenu then ntaufanyia kazi
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Dah labdainawezekana ikawa hivyo lakini toka mwez wa 3 mpaka sasa jaman na kila sikundonazd kupoteza upendo kabisa
<br />
<br />
inabidi ujitahidi kujiweka karibu nae.
Unahisi nini chanzo cha tatizo.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
inabidi ujitahidi kujiweka karibu nae.<br />
Unahisi nini chanzo cha tatizo.
<br />
<br />
Sina hakika nini chanzo lakini inawezekana kuna dada flan tumetokea kuwa marafiki toka mwez wa 2 na toka tumeanza urafik tumekuwa karibu sana na nimetokea kumpenda lakini ye anadai ana jamaa yake thou sikuwahi kumwona naye anadai jamaa yake hamjali inaweza pita week hajampgia hata simu lakini ye anampenda sana. Si kwamba natoka na huyo dada lakini nina hisia za mapenzi juu yake toka nimfaham na kila siku ukaribu unazidi na ye ndiye kampani yangu. Labda ndo tatzo
 
Soma ww acha kuwaza vitu ambavyo utavikuta mbeleni
<br />
<br />
Ndo mda wa kuwaza sasa au umesahau kuwa chuoni kuna hata wazee wana hadi wajukuu still wanasoma. Nadhani kwa sasa mimi ni mtu mzma na si ajabu anytime naweza kuoa may b
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Sina hakika nini chanzo lakini inawezekana kuna dada flan tumetokea kuwa marafiki toka mwez wa 2 na toka tumeanza urafik tumekuwa karibu sana na nimetokea kumpenda lakini ye anadai ana jamaa yake thou sikuwahi kumwona naye anadai jamaa yake hamjali inaweza pita week hajampgia hata simu lakini ye anampenda sana. Si kwamba natoka na huyo dada lakini nina hisia za mapenzi juu yake toka nimfaham na kila siku ukaribu unazidi na ye ndiye kampani yangu. Labda ndo tatzo
<br />
<br />
hilo ndio tatizo. Jitahidi nafasi unayompa huyo rafiki umpe msichana wako.
Halafu nakushauri ujadili hivyo unafeel na mpenzi wako nina imani atakusaidia.
 
Utaacha wangapi mkuu,umeshakuwa sasa hebu jaribu kuseto na mwanamke mmoja.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hilo ndio tatizo. Jitahidi nafasi unayompa huyo rafiki umpe msichana wako.<br />
Halafu nakushauri ujadili hivyo unafeel na mpenzi wako nina imani atakusaidia.
<br />
<br />
Ntajaribu may be inaweza saidia lakini siyo siri nahisi kumwaga manyanga sema tu naogopa lawama na kushuhudia maumivu yake
 
<br />
<br />
Ndo mda wa kuwaza sasa au umesahau kuwa chuoni kuna hata wazee wana hadi wajukuu still wanasoma. Nadhani kwa sasa mimi ni mtu mzma na si ajabu anytime naweza kuoa may b
Hao wazee unao wasema hawakuumaliza ujana wao na utuuzima wao ktk kisomo,walifanya maisha then wakaendeleza kitabu
u'r gender is male thats why coz most of people wanasema wanaume ndo huwa wa kwanza kuwachoka wapenzi wao naanza kuamini
 
<font size="3"><span style="font-family: franklin gothic medium">Utaacha wangapi mkuu,umeshakuwa sasa hebu jaribu kuseto na mwanamke mmoja.</span></font>
<br />
<br />
Sina lengo lakumuacha lakini hisia zinapotea kabisamkuu
 
Hao wazee unao wasema hawakuumaliza ujana wao na utuuzima wao ktk kisomo,walifanya maisha then wakaendeleza kitabu<br />
u'r gender is male thats why coz most of people wanasema wanaume ndo huwa wa kwanza kuwachoka wapenzi wao naanza kuamini
<br />
<br />
Wajua sidhan kama ni busara kukimbilia kuoa bila kuwa katika mahusiano ya muda flan na utakaye muoa. Na mahusiano hayo ndo muda wake sasa kwa upande wangu. Ebu jiulizehivi ingekuwaje ndo nimemuoa msichana halafu nikamchoka. Sasa ni bora kusoma huku nikitafta mtu ambaye ntakuwa na uhakika wa kutomchoka au wehulioni hilo
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ntajaribu may be inaweza saidia lakini siyo siri nahisi kumwaga manyanga sema tu naogopa lawama na kushuhudia maumivu yake
<br />
<br />
kesho nitakupm kwa ushauri zaidi. Nikisahau naomba unikumbushe.
 
<br />
<br />
Wajua sidhan kama ni busara kukimbilia kuoa bila kuwa katika mahusiano ya muda flan na utakaye muoa. Na mahusiano hayo ndo muda wake sasa kwa upande wangu. Ebu jiulizehivi ingekuwaje ndo nimemuoa msichana halafu nikamchoka. Sasa ni bora kusoma huku nikitafta mtu ambaye ntakuwa na uhakika wa kutomchoka au wehulioni hilo
It makes sense but utawachoka wangapi?
jaribu kuangalia nn chanzo ukigundua bac unawezatatua hilo tatizo unavyo sema utafute mtu ambaye huta mchoka angali usije kuruka mko*jo na kukanyaga m*vi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom