Naomba urudi nyumbani haraka umeshindwa kutuwakilisha vizuri hakikisha ile bendera tuliyo kupa unakuja nayo. Wapo vijana wengi tu hawana kazi wataenda hukoWanajamii mpo salama?
Ilikuwa tarehe 12 mwezi wa tisa nikaenda mgahawa mmoja unaitwa New castle cafe hapa changi, Singapore,
Niko nimekaa zangu akaja muhudumu ni mfilipino ni demu mzuri tu, akanihudumia, kama kawaida yetu wanaume si kuchelewa ni naomba mawasilino yake akakataa lakin nikamsihi akanipa,
Baada ya wiki moja nikarudi pale kupata kinywaji tunazoeana sana sana nikaanza Kwenda daily ikafika hatua kila nikienda anajua nita kunywa bila hata kumwambia maana alinizoea
Week kadhaa baadae nikawa naumwa nikaenda zangu hospitali, nikakutana na mtoto wa brazil ndo nurse anaitwa lisa, akanihudumia vizuri tu,
Baada ya siku nikaenda tena hospitali akawa amenihudumia yeye, tukawa marafiki pia, nikachukua mawasiliano yake , tukawa tunawasiliana tukataniana
Mazoea yakakolea sana sana sana , nikaenda naye out pale pale pa siku zote, kufika tu yule dada wa pale hakunihudumia na hakutaka kuniangalia kisa nina demu mwingine,
Akachukia kweli, akamaliza muda wake wa kazi shift yake, akawahi kwangu electra street,alipajua maana nimemkanyagia hapo mara moja
Mi nikaendelea kukamua kinywaji muda wa kwenda home ukafika, nikabebana na huyu demu kwenye gari lake, nafika nakuta mtu kwenye korido, akanivuta akanisukuma, ugomvi ukaanza wakavutana nywele pigana , huyo mfanyakazi wa mgahawani akampiga kwa pochi lisa usoni akavuja ,polis hawakuchelewa wakaja wakatupeleka sote ndani kwa mahojiano, cha kushangaza kesi nimepewa mimi eti ndo nimepanga pale kwenye bed sitter hivo ndo nimeleta matatizo, jumatano naenda kureport tena polis nione nini kitatokea,
Nyie mademu nyie
Possible outcome naweza kuwa deported
Au kulipishwa faini,
Nafanyaje na nijibu nn
Wanajamii mpo salama?
Ilikuwa tarehe 12 mwezi wa tisa nikaenda mgahawa mmoja unaitwa New castle cafe hapa changi, Singapore,
Niko nimekaa zangu akaja muhudumu ni mfilipino ni demu mzuri tu, akanihudumia, kama kawaida yetu wanaume si kuchelewa ni naomba mawasilino yake akakataa lakin nikamsihi akanipa,
Baada ya wiki moja nikarudi pale kupata kinywaji tunazoeana sana sana nikaanza Kwenda daily ikafika hatua kila nikienda anajua nita kunywa bila hata kumwambia maana alinizoea
Week kadhaa baadae nikawa naumwa nikaenda zangu hospitali, nikakutana na mtoto wa brazil ndo nurse anaitwa lisa, akanihudumia vizuri tu,
Baada ya siku nikaenda tena hospitali akawa amenihudumia yeye, tukawa marafiki pia, nikachukua mawasiliano yake , tukawa tunawasiliana tukataniana
Mazoea yakakolea sana sana sana , nikaenda naye out pale pale pa siku zote, kufika tu yule dada wa pale hakunihudumia na hakutaka kuniangalia kisa nina demu mwingine,
Akachukia kweli, akamaliza muda wake wa kazi shift yake, akawahi kwangu electra street,alipajua maana nimemkanyagia hapo mara moja
Mi nikaendelea kukamua kinywaji muda wa kwenda home ukafika, nikabebana na huyu demu kwenye gari lake, nafika nakuta mtu kwenye korido, akanivuta akanisukuma, ugomvi ukaanza wakavutana nywele pigana , huyo mfanyakazi wa mgahawani akampiga kwa pochi lisa usoni akavuja ,polis hawakuchelewa wakaja wakatupeleka sote ndani kwa mahojiano, cha kushangaza kesi nimepewa mimi eti ndo nimepanga pale kwenye bed sitter hivo ndo nimeleta matatizo, jumatano naenda kureport tena polis nione nini kitatokea,
Nyie mademu nyie
Possible outcome naweza kuwa deported
Au kulipishwa faini,
Nafanyaje na nijibu nn
Kina maria amourWe fala umetuokota, anyway kama ni kweli umefanya utoto sana.
We hao akina Marimar na akina Inna Makaspak si ulishawaona kule Star tv jinsi wanavyojua kupenda kwa dhati halafu unaleta usanii wako wakijinga ukizania akina sikitu wale!
Subiria mvua ya immigration sasa...Kipawa soon!!!
Kweli utu uzima dawa!Yani umeona humu ndo pakutangazia kuwa umetembea na mfilipino na mbrazil/wanawake wa nje!Wanajamii mpo salama?
Ilikuwa tarehe 12 mwezi wa tisa nikaenda mgahawa mmoja unaitwa New castle cafe hapa changi, Singapore,
Niko nimekaa zangu akaja muhudumu ni mfilipino ni demu mzuri tu, akanihudumia, kama kawaida yetu wanaume si kuchelewa ni naomba mawasilino yake akakataa lakin nikamsihi akanipa,
Baada ya wiki moja nikarudi pale kupata kinywaji tunazoeana sana sana nikaanza Kwenda daily ikafika hatua kila nikienda anajua nita kunywa bila hata kumwambia maana alinizoea
Week kadhaa baadae nikawa naumwa nikaenda zangu hospitali, nikakutana na mtoto wa brazil ndo nurse anaitwa lisa, akanihudumia vizuri tu,
Baada ya siku nikaenda tena hospitali akawa amenihudumia yeye, tukawa marafiki pia, nikachukua mawasiliano yake , tukawa tunawasiliana tukataniana
Mazoea yakakolea sana sana sana , nikaenda naye out pale pale pa siku zote, kufika tu yule dada wa pale hakunihudumia na hakutaka kuniangalia kisa nina demu mwingine,
Akachukia kweli, akamaliza muda wake wa kazi shift yake, akawahi kwangu electra street,alipajua maana nimemkanyagia hapo mara moja
Mi nikaendelea kukamua kinywaji muda wa kwenda home ukafika, nikabebana na huyu demu kwenye gari lake, nafika nakuta mtu kwenye korido, akanivuta akanisukuma, ugomvi ukaanza wakavutana nywele pigana , huyo mfanyakazi wa mgahawani akampiga kwa pochi lisa usoni akavuja ,polis hawakuchelewa wakaja wakatupeleka sote ndani kwa mahojiano, cha kushangaza kesi nimepewa mimi eti ndo nimepanga pale kwenye bed sitter hivo ndo nimeleta matatizo, jumatano naenda kureport tena polis nione nini kitatokea,
Nyie mademu nyie
Possible outcome naweza kuwa deported
Au kulipishwa faini,
Nafanyaje na nijibu nn
Kijana anajitahid mkuuBaada ya General Galadudu kuchukua likizo isiyo na malipo, naona vijana kadhaa wanapambana kuziba pengo lake.
pole huwa mnazani wanawake hawana moyo..ulimla wa nini wakati utaki mahusiano naeMi.nilidhani nimemkula yameisha kumbe anataka mahusiano kabisa