Nahisi kifo changu kitatokana na kupigwa risasi

shaks001

JF-Expert Member
Feb 6, 2014
1,246
1,070
Heshima kwenu wakuu,

Naamini JF kuna wajuzi wa mambo ambao wanaweza kusaidia kushauri na mengine mengi tu.Kwa miaka mingi sana nimekuwa nasumbuliwa na hisia mbaya kichwani mwangu ambazo kwa kweli zinanikosesha raha na amani.Nimekuwa kila nikikaa mahali nahisi kama kuna mtu anakuja na silaha(bastola),anani-shoot na kuondoka.

Hali hii huwa inanitokea hata nikiwa nyumbani peke yangu nikisikia kitu kimegonga mlango au kimedondoka basi haraka hushtuka na kuanza "kunyata"kuelekea mlio ulipotokea kwa umakini mkubwa kujiridhisha kama kuna usalama

Hali hii imenifanya nisiweze kukaa milango wazi hata mchana huwa nikiwa nyumbani najifungia milango yote.Nimevumila kwa muda mrefu lakini nimeona leo nifunguke kwa wataalamu wa mambo hapa JF nikiamini naweza kupata msaada wa mawazo,maana inawezekana ikawa najitabiria kifo changu(Japokuwa sina imani hiyo).

NB:Sina ugomvi wala uadui na mtu,na ni raia safi tu!
 
Ondoa mawazo ya uoga hayo; issue ya kifo siyo Tu kwa magonjwa Bali ni kwa Matukio kama ajali au risasi; cha msingi amini umeumbwa na utakufa japo hujui kifo cha namna gani; jikabidhi kila siku kwa mungu wako kwa lolote kwani roho Si zetu hizi ndugu. Pia usifikirie sana mabaya katika maisha yako.
 
Heshima kwenu wakuu,

Naamini JF kuna wajuzi wa mambo ambao wanaweza kusaidia kushauri na mengine mengi tu.Kwa miaka mingi sana nimekuwa nasumbuliwa na hisia mbaya kichwani mwangu ambazo kwa kweli zinanikosesha raha na amani.Nimekuwa kila nikikaa mahali nahisi kama kuna mtu anakuja na silaha(bastola),anani-shoot na kuondoka.

Hali hii huwa inanitokea hata nikiwa nyumbani peke yangu nikisikia kitu kimegonga mlango au kimedondoka basi haraka hushtuka na kuanza "kunyata"kuelekea mlio ulipotokea kwa umakini mkubwa kujiridhisha kama kuna usalama

Hali hii imenifanya nisiweze kukaa milango wazi hata mchana huwa nikiwa nyumbani najifungia milango yote.Nimevumila kwa muda mrefu lakini nimeona leo nifunguke kwa wataalamu wa mambo hapa JF nikiamini naweza kupata msaada wa mawazo,maana inawezekana ikawa najitabiria kifo changu(Japokuwa sina imani hiyo).

NB:Sina ugomvi wala uadui na mtu,na ni raia safi tu!
Nenda pale muhimbili ukamwone pschiatrist , ni bure kabisa.
Ukiendelea utaokota makopo!
 
Jiangalie katika shughuli zako.Kama kuna watu unawaumiza au unawadhulumu acha.Jitafakari na uzaliwe upya.Hiawezekani hisia hizo zikaja ghafla tu;kuna baya unafanya.
 
Pole sana huenda ni depression au anxiety, huenda ni mfadhaiko uliokukumba ulipokuwa mdogo.
Hamna anaeweza kukupa jibu zuri mpaka ufunguke vizuri au uende kwa doctor umweleze.
Jaribu yoga au meditation
 
Kwanza alitakiwa ajitambulishe tumwelewe vizuri ndipo tumshauri. The way ninavyoweza mshauri machinga, dereva bodaboda, Mengi, Magufuli, mkulima mdogo, afisa usalama, kibaka, padre, Mwalimu, daktari, housegirl /houseboy, mpiga debe, mama wa nyumbani, polisi, jw n.k. ni tofauti tofauti. Toa sifa zako, kama ni gaidi Sawa "ukiua kwa risasi utakufa kwa risasi ".
 
Heshima kwenu wakuu,

Naamini JF kuna wajuzi wa mambo ambao wanaweza kusaidia kushauri na mengine mengi tu.Kwa miaka mingi sana nimekuwa nasumbuliwa na hisia mbaya kichwani mwangu ambazo kwa kweli zinanikosesha raha na amani.Nimekuwa kila nikikaa mahali nahisi kama kuna mtu anakuja na silaha(bastola),anani-shoot na kuondoka.

Hali hii huwa inanitokea hata nikiwa nyumbani peke yangu nikisikia kitu kimegonga mlango au kimedondoka basi haraka hushtuka na kuanza "kunyata"kuelekea mlio ulipotokea kwa umakini mkubwa kujiridhisha kama kuna usalama

Hali hii imenifanya nisiweze kukaa milango wazi hata mchana huwa nikiwa nyumbani najifungia milango yote.Nimevumila kwa muda mrefu lakini nimeona leo nifunguke kwa wataalamu wa mambo hapa JF nikiamini naweza kupata msaada wa mawazo,maana inawezekana ikawa najitabiria kifo changu(Japokuwa sina imani hiyo).

NB:Sina ugomvi wala uadui na mtu,na ni raia safi tu!
ushawahi kuuwa?
 
Binafsi nafikiri kinachokusumbua akili ni aina ya kifo unachokiogopa, acha kbs hayo mambo unayoyafanya yasiyo sahihi unayohofia kuwa siku ukistukiwa utapigwa risasi. Kama ni mwizi wa mali au wake za watu acha.
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom