Ni hisia zake tu, hakuna cha gundu Wala uchawi, ahakikishe ana nyenzo zote za kutongozea
Kwa mujibu wake...Ni hisia zake tu, hakuna cha gundu Wala uchawi, ahakikishe ana nyenzo zote za kutongozea
Ningempa miongozo sema nini...Tafuta dalali wa mapenzi....
Mpe miongozo Shem 😁 huyu sio mbishi kama binadamu wengineNingempa miongozo sema nini...
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Nina maji mdomoni Shem...Mpe miongozo Shem 😁 huyu sio mbishi kama binadamu wengine
Samahani lakini,Habarini wana JF
Nilikua namikasa isiyo elezeka kama ifuatavyo:
Mwaka 2017 - nilikutana na mdada flan nkamtongoza akakubali lakin tulikuaja kuachana cz alinikaushia. Mwaka huohuo tena nikaopoa katoto kakanipenda sanaa lakin nkajakugundua kua anamasela wengi mwishowe nayeye akamua kunikaushia cz sijuagi kumwacha mtu
2019 - nkakutana na mdada mwingine lakin hatukudumu sana sababu alienda mkoa wambali kidogo
Hisia za wanawake siku hizi zinachangiwa na pesa fanya kujaribu
Hela siyo kila kitu kwenye mapenzi. Hiyo pesa unayompa mwanamke inaweza kutumika kumlipia kodi au ada mwanaume anayempenda.
Hakuna mwanaume anaweza kumtuliza mwanamke. Mwanamke akiamua anatulia mwenyewe.
Ila mwanaume anatulizwa na mwanamke akatulia. Mapenzi siyo pesa, wengi walioamini pesa ndiyo kila kitu kwenye mapenzi ndiyo huwa wanalia pindi unapofirisika au kuumwa. Hukimbiwa kwasababu ulitafuta mwanamke ili atumie pesa zako. Sasa huna, akae na wewe kufanya nini?
Mpe pesa mpe pesa. Ayo ya kufirisika kuumwa yatakuja baadae.
Mpe pesa mpe pesa ayo ya kumpa mwanaume anayempenda atajua yeye
Mpe pesa mpe pesa atakupa upendo atakama wa uwongo kikubwa ni upendo.
Mwanamke wa kumpa pesa ni yule mwenye watoto wako maana atakula pesa hiyo na watoto wako. Ukimnunulia gari, na watoto wako watapanda hata kuendesha gari.
Wanaume rijali na wenye akili timamu huwa wanafanya hivyo
Uko WAP bossBroo hayoyote nafanya pesa namwaga zakutosha mtoto nilazma ang'ae mda wote ila ukija upande wakumtongoza napigwa chini
umepigwa gundu la maviHabarini wana JF
Nilikua namikasa isiyo elezeka kama ifuatavyo:
Mwaka 2017 - nilikutana na mdada flan nkamtongoza akakubali lakin tulikuaja kuachana cz alinikaushia. Mwaka huohuo tena nikaopoa katoto kakanipenda sanaa lakin nkajakugundua kua anamasela wengi mwishowe nayeye akamua kunikaushia cz sijuagi kumwacha mtu
2019 - nkakutana na mdada mwingine lakin hatukudumu sana sababu alienda mkoa wambali kidogo
2020 nkasema ngoja nipumzikee sababu kila napopita nimisukosuko
2021-akatokea mdada mwingine black beauty akanipenda mnoo tukanzisha mahusiano ila nilikutana na misukosuko mingi wakat wa mapenz kwan kunakamchezo alikua anakacheza na wenzake nkamvumilia ili abadilike Ila ikashindikana sikumuacha Ila baada yamuda nikaja kugundua kua anajamaa wake huko kijijini naanampenda sana Mimi nikipotezea mdaa.
Katika mausiano yangu nayake aliniambia kua jamaa wake nimtu wakuamin vitu vya ajabu ajabu kwahyo anaweza kunifanyia kitukibaya nkamua kuachana nae kwan nlishagundua anamtu.
Jamaa alipojua kua nilikua namgefeda dem wake aliishia kulalamika ilankaina isiwekesi nkamwachia. Jamaa nilisha muomba msamaha nakumuambia kua dem alikuja mwenyewe nasikujua kama anamtu akaniambia kansamege ila.
Tokea siku hiyoo mpaka leo hii nimeshatongoza wanawake 23 nakila mmoja ananikatalia nikipiga saund sana naishia kuambiwa sikupendi na sina hisia nawewe namaneno menginemakali ninapo andika ujumbe huu nimesha tongoza wengine wawili ila mwendo niuleule "" sina hisia nawewe na sikupendi""
Sasa najiuliza hii hali inakuaje sababu sahv nimda natafta mwanamke wakumuoa lakin naona kama nagonga mwamba.
Msaada wenu wakuu