Nahisi kaniachia gundu...

Habarini wana JF

Nilikua namikasa isiyo elezeka kama ifuatavyo:

Mwaka 2017 - nilikutana na mdada flan nkamtongoza akakubali lakin tulikuaja kuachana cz alinikaushia. Mwaka huohuo tena nikaopoa katoto kakanipenda sanaa lakin nkajakugundua kua anamasela wengi mwishowe nayeye akamua kunikaushia cz sijuagi kumwacha mtu

2019 - nkakutana na mdada mwingine lakin hatukudumu sana sababu alienda mkoa wambali kidogo
Samahani lakini,

Umri wako ni chini ya miaka 21
au chini ya miaka 31
au chini ya miaka 41?

Nina swali la nyongeza na ushauri ukinijibu
 
Hela siyo kila kitu kwenye mapenzi. Hiyo pesa unayompa mwanamke inaweza kutumika kumlipia kodi au ada mwanaume anayempenda.
Hakuna mwanaume anaweza kumtuliza mwanamke. Mwanamke akiamua anatulia mwenyewe.
Ila mwanaume anatulizwa na mwanamke akatulia. Mapenzi siyo pesa, wengi walioamini pesa ndiyo kila kitu kwenye mapenzi ndiyo huwa wanalia pindi unapofirisika au kuumwa. Hukimbiwa kwasababu ulitafuta mwanamke ili atumie pesa zako. Sasa huna, akae na wewe kufanya nini?
Hisia za wanawake siku hizi zinachangiwa na pesa fanya kujaribu
 
Hela siyo kila kitu kwenye mapenzi. Hiyo pesa unayompa mwanamke inaweza kutumika kumlipia kodi au ada mwanaume anayempenda.
Hakuna mwanaume anaweza kumtuliza mwanamke. Mwanamke akiamua anatulia mwenyewe.
Ila mwanaume anatulizwa na mwanamke akatulia. Mapenzi siyo pesa, wengi walioamini pesa ndiyo kila kitu kwenye mapenzi ndiyo huwa wanalia pindi unapofirisika au kuumwa. Hukimbiwa kwasababu ulitafuta mwanamke ili atumie pesa zako. Sasa huna, akae na wewe kufanya nini?

Mpe pesa mpe pesa. Ayo ya kufirisika kuumwa yatakuja baadae.

Mpe pesa mpe pesa ayo ya kumpa mwanaume anayempenda atajua yeye

Mpe pesa mpe pesa atakupa upendo atakama wa uwongo kikubwa ni upendo.
 
Mwanamke wa kumpa pesa ni yule mwenye watoto wako maana atakula pesa hiyo na watoto wako. Ukimnunulia gari, na watoto wako watapanda hata kuendesha gari.
Wanaume rijali na wenye akili timamu huwa wanafanya hivyo
Mpe pesa mpe pesa. Ayo ya kufirisika kuumwa yatakuja baadae.

Mpe pesa mpe pesa ayo ya kumpa mwanaume anayempenda atajua yeye

Mpe pesa mpe pesa atakupa upendo atakama wa uwongo kikubwa ni upendo.
 
Usharogwa wew sio bure

hao wapumbavu wanaokushaur utafte pesa, wakae wakijua mapenzi si pesa kila muda, japo pesa ina umuhimu lkn umuhimu wake ni kwa wanawake makahaba, yaan walioamua kuitumia K" yao kuwa kitega uchumi,

uwepo wa hawa makahaba wapenda pesa ktk mapenzi haiondoi ukwel kuwa wapo wanawake wasiohitaji hizo pesa zaid ya upendo wa kweli.

wew umekataliwaje na wanawake wengi kiasi hicho na uone ni kitu cha kawaida?.

jiongeze mzee baba, dawa ya moto ni moto, sitokwambia direct ufanye nini, lkn najua wajua kuwa dawa ya moto ni moto, yaan dawa ya gundu, nuksi, vijicho, mikosi, wapo wahusika wa hayo mambo.

usiwafikilie sana hawa wapuuzi wanaokushaur utafte pesa, wakat huo wapo ambao hawana pesa lkn wanawatafuna madenti buree na pesa wanatoa hao hao madenti.

uamuz ni wako, kuamua kushughurikia ushauri wakipuuzi wa hawa watafta pesa, ama kusolve matatizo yako behind the human ability.
 
Habarini wana JF

Nilikua namikasa isiyo elezeka kama ifuatavyo:

Mwaka 2017 - nilikutana na mdada flan nkamtongoza akakubali lakin tulikuaja kuachana cz alinikaushia. Mwaka huohuo tena nikaopoa katoto kakanipenda sanaa lakin nkajakugundua kua anamasela wengi mwishowe nayeye akamua kunikaushia cz sijuagi kumwacha mtu

2019 - nkakutana na mdada mwingine lakin hatukudumu sana sababu alienda mkoa wambali kidogo

2020 nkasema ngoja nipumzikee sababu kila napopita nimisukosuko

2021-akatokea mdada mwingine black beauty akanipenda mnoo tukanzisha mahusiano ila nilikutana na misukosuko mingi wakat wa mapenz kwan kunakamchezo alikua anakacheza na wenzake nkamvumilia ili abadilike Ila ikashindikana sikumuacha Ila baada yamuda nikaja kugundua kua anajamaa wake huko kijijini naanampenda sana Mimi nikipotezea mdaa.

Katika mausiano yangu nayake aliniambia kua jamaa wake nimtu wakuamin vitu vya ajabu ajabu kwahyo anaweza kunifanyia kitukibaya nkamua kuachana nae kwan nlishagundua anamtu.

Jamaa alipojua kua nilikua namgefeda dem wake aliishia kulalamika ilankaina isiwekesi nkamwachia. Jamaa nilisha muomba msamaha nakumuambia kua dem alikuja mwenyewe nasikujua kama anamtu akaniambia kansamege ila.

Tokea siku hiyoo mpaka leo hii nimeshatongoza wanawake 23 nakila mmoja ananikatalia nikipiga saund sana naishia kuambiwa sikupendi na sina hisia nawewe namaneno menginemakali ninapo andika ujumbe huu nimesha tongoza wengine wawili ila mwendo niuleule "" sina hisia nawewe na sikupendi""

Sasa najiuliza hii hali inakuaje sababu sahv nimda natafta mwanamke wakumuoa lakin naona kama nagonga mwamba.

Msaada wenu wakuu
umepigwa gundu la mavi
 
Back
Top Bottom