kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Jamani mimi mwili wangu umekuwa mwili wa magonjwa mpaka sasa ivi na hisi nimerogwa kupona siponi. Nime kuwa mtu wa kubadirisha magonjwa Kama nguo.
Nimetoka kwa hili na ingia kwa hili. Jana nilikuwa nimepigwa na headaches. Nimepona asubuhi. Asubuhi iyo iyo nimeshikwa na ugonjwa mwingine sijui ata Kama ni ugojwa gani.
Maana na hisi tumboni patupu hta nikila wapi, nimekula ugali Lakini wapi kushiba sishibi.
Na sikia tumboni kuna nguruma tu na Nina jamba saana na Kunawaka moto.
Nimesha tumia maziwa wapi bado na sumbuliwa tu na ugonjwa huu.
Na Kuna mda moyo wangu una enda mbio Kama ninakimbizwa na watu.
Yaani sasa hivi na hisi hisi kufa tu
Nimetoka kwa hili na ingia kwa hili. Jana nilikuwa nimepigwa na headaches. Nimepona asubuhi. Asubuhi iyo iyo nimeshikwa na ugonjwa mwingine sijui ata Kama ni ugojwa gani.
Maana na hisi tumboni patupu hta nikila wapi, nimekula ugali Lakini wapi kushiba sishibi.
Na sikia tumboni kuna nguruma tu na Nina jamba saana na Kunawaka moto.
Nimesha tumia maziwa wapi bado na sumbuliwa tu na ugonjwa huu.
Na Kuna mda moyo wangu una enda mbio Kama ninakimbizwa na watu.
Yaani sasa hivi na hisi hisi kufa tu