Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,071
Piga chini haina namna
Hahhhaha eti akamsemee kwa dogo paul?Kama huyo demu yupo Dar es salam ataenda kukusemea kwa Paul Makonda tehe tehe we mtelekeze tu uone.
Usichezee kiumbe kinaitwa mwanamke mkuu.Hivi wanawake inawezekanaje una ujauzito wa miezi labda 5-6 bado una enda kufanya mapenzi na mtu ambaye sio mhusika wa ujauzito
Hiyo sio maana yake japo unaoneka na muhenga. Kitanda chochote kiwe cha guest au cha nyumbani, mtoto atakaepatikana hapo sio haramu. Maana yake hakuna mwanadamu haramu aliye umbwa tayari na mungu. Km sio wako, basi sema si wako lkn kusema haramu ni kudhalilisha utu wa mwanadamu na kukufuru uumbaji wa mwenyezi mungu. Haramu ni kile tu kilicho haramishwa na Mungu tu.Wahenga tunasemaga kitanda hakijawahi kuzaa haram sheikh
Huo msemo unatumika kwa wawili waliooana siyo kwa marafiki ambao kila mmoja analala kwake!