Nimerekebisha... Anisamehe sikuwa makini kwa hiloMtu anajiita mama Pasco ww unamwita Bro tena!!!
Umeandika nini hii?Au mama alikuwa na mchepuko na mtoto ni wake akamtuma mtu kuja kulipiza kisasi..
Eeeeh,!!Polisi iwahoji vizuri wazazi wa marehemu
Je aliyebomoa geti kabla beki 3 hajaletwa ni nani?
Sherlock Holmes yupo zake NHIF huko, alikuwa pale Central - Forensic, jina namuhifadhi. Waliobaki ni empty.Kwa polisi wetu Hawa iyo case imeshahitimishwa. Hatuna sharlock Holmes hapa bongo
Hii tayari ni CV yako inatosha kuomba kazi ya ukolokoroni na ukapata.Nimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.
1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.
2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake
3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.
4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.
5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?
6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.
7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?
Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
kama sikosei hii habari si ngeni na wahusika walisema kuwa cctv camera ilitumika kumbaini housegirl akitekeleza mauaji sasa hapo sielewi kuna uchunguzi gani tena labda ueleze kuwa uchunguzi ufanyike kujua ni kwa nini mdada alifanya haya mauaji hayo.Nimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.
1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.
2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake
3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.
4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.
5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?
6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.
7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?
Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
Mbona nilisikia nyumba ina CCTV na zilithibitisha uhhsika wake.Nimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.
1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.
2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake
3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.
4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.
5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?
6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.
7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?
Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
Fingerprints zinafanya kazi kama zitakuwepo kwenye databaseHata km CCTV camera zilikuwa hazifanyi kazi, jee hizo alama akizokutikana nazo mtt haziwezi kusaidia kupata fingerprints za muhusika?
Lkn pia ni nani anaweza kuingia ndani ya nyumba au chumbani mwa watu na kumnyonga mtt kama Sio mtu wa karibu?
Hii kesi kweli Sio ya kuichukulia kijuujuu.
No 4,Hapooo eneo alojenga alipewa na mjomba wake ina semekanika Ana mgogoro na watoto Wa mjomba Hawa kufurahishwa na yeye kimaisha katoboa! Na pia walikuwa na mpango Wa kuhama hapoUko sawa kabisa. House girl asingeweza kukaa kwa siku Tatu aue mtoto, amalize na Mpigie mama mtoto simu kuelewa Hali ya mtoto, Bado mama wa mtoto aje amkute mtoto kafa na House girl yuko hapo nyumbani hajakimbia.
2. Maelezo ya wazazi yanaonyesha kulikuwa na House girl wa awali yuko wapi? Aliondoka sasa yuko Mkoa gani? Aliondoka kwa mazingira yapi? Inawezekana Dr Kimaro alikuwa amekuwa naye kimapenzi then wakamfukuza akaja kinyemela kwa kufanya mahoka Ili kumkomoa.
3. Kuna maelezo kuwa kuna House boy aliyekuwa amekuja na kuondoka. Yuko wapi na Anafanya kazi wapi?
4. Hili eneo walikojenga nyumba lilikuwa mali ya nani na walilipataje? Isije ikawa Dr alinunua nyumba kwenye minada ya bank mwenye nyumba akaja kufamya yake baada ya kudhulumiwa nyumba.
5. Je kijana aliyefariki alikuwa mtoyo wa Dr? Isije ikawa mke alipiga nje akasingizia mtoto ni wa Dr kumbe ni wa baba mwingine wanawake maDr nayo wana vituko vyao, , then baba mwingine akaja kufanya yake?
6. Je wakati mtoto akiwa amelala mlango, geti vilikuwa wazi? Je huyo binti alikuwa umbali gani ?
7. Kabla mtoto hajatoka shule binti wa kazi alikuwa na nani huko nyumbani?
8. Mtoto aliyenyongwa lazima ajikojolelee au kutoa haja kubwa kabla hajafa, je mtoto alikuwa na Hali hiyo?
9. Je Huyo binti wa kazi hicho ni kituo chake cha ngapi cha kufanyika kazi? Kama ameshafanya pengine historia yake ilikuwa je?
Za nn sasa.Baba yake alipohojiwa amesema CCTV camera hazifanyi kazi kwenye nyumba yao.
Basi maiaji yalipangwaUmeambiwa zilikuwa zimezimwa two days before!
Mdomo koma..nimeishatukana tayari.Polisi wetu japo sometimes Wana maujinga ila wapo Makini
Wataleta majibu sahihi 100%
Yah. Wa match na watu wa karibu. House boy na dada wa kazi? Izo za maeneo ya shingoni.Fingerprints zinafanya kazi kama zitakuwepo kwenye database
Kama mhusika hana kitambulisho chochote kile na hayupo hapo ni ngumu sana kupata fingerprint zao
Pia finger print matching ni ngumu kwenye mwili wa marehemu maana miili mingi huguswa na watu wengi...
Kama hapo print matching lazima itamhusu msaidizi wa kazi za nyumbani...
Swali linakuja kwanini kabaki baada ya mauaji?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app