Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

Hichi kisa kwa kiasi kikubwa kinafanana na kisa kilichotokea huku Zanzibar miezi kadhaa iliyopita. Kuna mume alimuua mke wake halafu msala ukamuangukia house girl. Sema kwa mujibu wa mauaji yalivyotendeka intelijensia/saikolojia ya polisi ikakataa kwamba mauaji ya aina ile yanaweza kufanywa na binti wa kazi ambaye kiumri na kimuonekano haendani kabisa na tukio lile. Wakati binti wa kazi anahojiwa na askari mwanzoni alikuwa anasita kufunguka ukweli na wakati yupo ndani (kituoni) aligoma kula kwa masaa kadhaa...ila mwisho baada ya kumrai sana ikabidi afunguke ukweli na jinsi tukio zima lilivyotokea...ikaonekana ni mume ndo aliyeua kinyama mke wake...binti alieleza kuwa kaka (boss wake) alimwambia asimwambie mtu kilichotokea vyenginevo angemuua, kisha yule jamaa akamshikisha kisu yule binti na kumpakaza damu mwilini...jamaa akasepa akamuacha binti na maiti ndani...wakati jamaa anamchinja mkewe huyo binti alitoka kwenda kumpeleka mtoto wa boss wake kupanda gari ya shule...sasa wakati anarudi ndo ndani anakuta jamaa amegeuza mkewe bucha.

Binti alieleza kuwa siku moja kabla ya tukio hao mabosi zake waligombana.

Kama ilivyo kwa kisa hiki cha hapo Dar, wapo baadhi ya watu wajuaji wa mtaa wakaanza kusambaza 'voice note' za kwamba house girl kaua bosi wake wa kike, tena wakahadithia kama walishuhudia vile wakati binti anaua na kuwatahadharisha watu wawe makini.😂 mwish wa siku uchunguzi wa polisi ukawaumbua...yule binti akabadilishwa 'status' badala ya kuwa mtuhumiwa akageuka kuwa shahidi huku akiwa chini ya ulinzi madhubuti wa dola.

Kesi ya huyo jamaa bado ipo mahakamani na askari wanaendelea kukamiliisha baadhi ya mambo ya kiushahidi, kisha shauri lianze kusikilizwa.

So, katika hili pia tuvuteni subra mengi yataibuka au yataibuliwa.
 
Nimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.

1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.

2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake

3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.

4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.

5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?

6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.

7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?

Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
Hii tayari ni CV yako inatosha kuomba kazi ya ukolokoroni na ukapata.
 
Nimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.

1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.

2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake

3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.

4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.

5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?

6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.

7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?

Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
kama sikosei hii habari si ngeni na wahusika walisema kuwa cctv camera ilitumika kumbaini housegirl akitekeleza mauaji sasa hapo sielewi kuna uchunguzi gani tena labda ueleze kuwa uchunguzi ufanyike kujua ni kwa nini mdada alifanya haya mauaji hayo.
 
Nimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.

1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.

2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake

3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.

4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.

5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?

6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.

7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?

Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
Mbona nilisikia nyumba ina CCTV na zilithibitisha uhhsika wake.
Ila hata mimi nahisi there is more to this story. Yani siku ya tatu afanye maafa na asikimbie
 
Niko mbali kweli na mji, kumbe kuna tukio tena la house girl kusababisha mauwaji.

Apumzike kwa amani huyo mtoto,pole kwa wazazi na ndugu.

Kama mleta mada alivyosema hakika kuna hitajika uchunguzi wa kina kwa tukio hili, hakuna tukio kama hili linakokosa sababu tena zenye mantiki.
 
Hata km CCTV camera zilikuwa hazifanyi kazi, jee hizo alama akizokutikana nazo mtt haziwezi kusaidia kupata fingerprints za muhusika?

Lkn pia ni nani anaweza kuingia ndani ya nyumba au chumbani mwa watu na kumnyonga mtt kama Sio mtu wa karibu?

Hii kesi kweli Sio ya kuichukulia kijuujuu.
Fingerprints zinafanya kazi kama zitakuwepo kwenye database

Kama mhusika hana kitambulisho chochote kile na hayupo hapo ni ngumu sana kupata fingerprint zao

Pia finger print matching ni ngumu kwenye mwili wa marehemu maana miili mingi huguswa na watu wengi...

Kama hapo print matching lazima itamhusu msaidizi wa kazi za nyumbani...

Swali linakuja kwanini kabaki baada ya mauaji?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Uko sawa kabisa. House girl asingeweza kukaa kwa siku Tatu aue mtoto, amalize na Mpigie mama mtoto simu kuelewa Hali ya mtoto, Bado mama wa mtoto aje amkute mtoto kafa na House girl yuko hapo nyumbani hajakimbia.
2. Maelezo ya wazazi yanaonyesha kulikuwa na House girl wa awali yuko wapi? Aliondoka sasa yuko Mkoa gani? Aliondoka kwa mazingira yapi? Inawezekana Dr Kimaro alikuwa amekuwa naye kimapenzi then wakamfukuza akaja kinyemela kwa kufanya mahoka Ili kumkomoa.
3. Kuna maelezo kuwa kuna House boy aliyekuwa amekuja na kuondoka. Yuko wapi na Anafanya kazi wapi?
4. Hili eneo walikojenga nyumba lilikuwa mali ya nani na walilipataje? Isije ikawa Dr alinunua nyumba kwenye minada ya bank mwenye nyumba akaja kufamya yake baada ya kudhulumiwa nyumba.
5. Je kijana aliyefariki alikuwa mtoyo wa Dr? Isije ikawa mke alipiga nje akasingizia mtoto ni wa Dr kumbe ni wa baba mwingine wanawake maDr nayo wana vituko vyao, , then baba mwingine akaja kufanya yake?
6. Je wakati mtoto akiwa amelala mlango, geti vilikuwa wazi? Je huyo binti alikuwa umbali gani ?
7. Kabla mtoto hajatoka shule binti wa kazi alikuwa na nani huko nyumbani?
8. Mtoto aliyenyongwa lazima ajikojolelee au kutoa haja kubwa kabla hajafa, je mtoto alikuwa na Hali hiyo?
9. Je Huyo binti wa kazi hicho ni kituo chake cha ngapi cha kufanyika kazi? Kama ameshafanya pengine historia yake ilikuwa je?
No 4,Hapooo eneo alojenga alipewa na mjomba wake ina semekanika Ana mgogoro na watoto Wa mjomba Hawa kufurahishwa na yeye kimaisha katoboa! Na pia walikuwa na mpango Wa kuhama hapo
 
Binti katumika hapo anawajua waliomnyonga. Au maskini bila kujua alitembelewa na watu akawakaribisha na wao wakafanya yao kisha wakatiririka.
 
-Mtu aue halafu apige simu kwa bosi wake
-Mtu aue halafu asikimbie
-Mtu anasiku 3 hata mateso ya uhousegirl hajayapata bado halafu alipize
-Hapo wangekuwa FBI au CIA au interpoll police ukweli tungeujua ila hawa polisi wa Tanzania tusahau na hii habari itavuma wiki moja tu halafu kimya hakutakuwa na mwandishi wa kufuatilia tena
 
Fingerprints zinafanya kazi kama zitakuwepo kwenye database

Kama mhusika hana kitambulisho chochote kile na hayupo hapo ni ngumu sana kupata fingerprint zao

Pia finger print matching ni ngumu kwenye mwili wa marehemu maana miili mingi huguswa na watu wengi...

Kama hapo print matching lazima itamhusu msaidizi wa kazi za nyumbani...

Swali linakuja kwanini kabaki baada ya mauaji?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yah. Wa match na watu wa karibu. House boy na dada wa kazi? Izo za maeneo ya shingoni.

Usishangae anaweza dada akawa kafanya kitendo na still akabaki kama kubabaisha watu aonekane innocent. Na kama dada bado ni mdogo lbd below 18 yrs anaweza akawa hajapata maarifa ya nn cha kufanya after kutekeleza adhma yake.

Ila binafsi sikubali kama dada ndio kaua. Otherwise awe agent wa shetani
 
Back
Top Bottom