We unafikiri ukiwa Raisi unapata huwo muda. Jaribu kugombea hata mwenyekiti wa kijiji uone
watu ambao hawana kazi utawajua tu sasa nawewe hapa unataka tukuite great thinker?
Mshkaji hana ratiba kama hiyo mkuu, labda kama unampangia wewe kwa mara ya kwanza, sijaona ratiba za mazishi thats why naipinga ratiba yako
na kucheza karata kwenye kompyuta. kuwapigia clouds simu ili wamchomee nyimbo kwenye cd, au flash na kusoma fesibuku ya mwanaasha
na kucheza karata kwenye kompyuta. kuwapigia clouds simu ili wamchomee nyimbo kwenye cd, au flash na kusoma fesibuku ya mwanaasha
teh teh teh!
alipata watoto b4 hajawa prezdaaa,si unaona walivyo wakubwa kama huyu wa form 4 na kaka zakeHuo msururu wa watoto umetoka wapi?