Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Saa 11.00 Kuamaka toka kitandani
Saa 11.10 - 11.40 Mazoezi ya viungo
Saa 11.40 - 12.20 Kuijiandaa na usafi wa mwili mpaka kupiga pamba
12.20 - 1.00 Kusoma magazeti na kupata kifungua kinywa
1.00 - 1.30 Kuangalia news kupata habari mbali mbali
1.30 - 2.00 Kuelekea ofisini na kuanza kuchapa kazi
2.00 - 4.00 Kupata updates za ofisi toka kwa wasaidizi wake
4.00 - 4.30 Tea break
4.30 - 7.00 Hapa anapiga kazi na kufanya maamuzi
7.00 8.00 Lunch break na ka siesta kidogo
8.00 - 10.00 Kupata feedback toka kwa wasaidizi wake
10.00 - 12.00 Hapa napo anapiga kazi na kufanya maamuzi
12.00 - 12.30 Anafunga ofisi na kurudi nyumbani
12.30 - 1.30 Muda wa familia (Mara Riz1 kaja, Mara Miraji sijui na huyu mwengine wa NECTA) pamoja na TV
1.30 - 2.00 anapata maji kidogo kutoa uchovu wa mchana kutwa
2.00 - 3.00 Dinner time ofcoz na TV
3.00 - 4.00 TV na entertainment nyingine
4.00 - 6.00 Anasoma report zote serious zinazohusu mambo ya nchi hii
6.00 - 10.30 Mapumziko kwa ajili ya kujiandaa kwa shughuli za kesho yake.
Lakini kawaida wanaume wote huwa tunakosaga uzingizi kwenye saa 9 usiku mpaka saa 10.30 na hapa ndio wakati mtu unafanya plans za mambo yako. Natumai hata mkulu pia haka kamda huwa anakosa usingizi ukichukulia tena na mambo ya matabibu na kina hawa HOLE LISU.
Saa 11.10 - 11.40 Mazoezi ya viungo
Saa 11.40 - 12.20 Kuijiandaa na usafi wa mwili mpaka kupiga pamba
12.20 - 1.00 Kusoma magazeti na kupata kifungua kinywa
1.00 - 1.30 Kuangalia news kupata habari mbali mbali
1.30 - 2.00 Kuelekea ofisini na kuanza kuchapa kazi
2.00 - 4.00 Kupata updates za ofisi toka kwa wasaidizi wake
4.00 - 4.30 Tea break
4.30 - 7.00 Hapa anapiga kazi na kufanya maamuzi
7.00 8.00 Lunch break na ka siesta kidogo
8.00 - 10.00 Kupata feedback toka kwa wasaidizi wake
10.00 - 12.00 Hapa napo anapiga kazi na kufanya maamuzi
12.00 - 12.30 Anafunga ofisi na kurudi nyumbani
12.30 - 1.30 Muda wa familia (Mara Riz1 kaja, Mara Miraji sijui na huyu mwengine wa NECTA) pamoja na TV
1.30 - 2.00 anapata maji kidogo kutoa uchovu wa mchana kutwa
2.00 - 3.00 Dinner time ofcoz na TV
3.00 - 4.00 TV na entertainment nyingine
4.00 - 6.00 Anasoma report zote serious zinazohusu mambo ya nchi hii
6.00 - 10.30 Mapumziko kwa ajili ya kujiandaa kwa shughuli za kesho yake.
Lakini kawaida wanaume wote huwa tunakosaga uzingizi kwenye saa 9 usiku mpaka saa 10.30 na hapa ndio wakati mtu unafanya plans za mambo yako. Natumai hata mkulu pia haka kamda huwa anakosa usingizi ukichukulia tena na mambo ya matabibu na kina hawa HOLE LISU.