Tembelea walipo wataalam wa afya ufanyiwe vipimoWakuu habari naomba msaada natokwa n vipele n vijipu kwenye mwili inaweza ikawa tatzo gan au damu imechafuka nifanye nn ?
Thanks nitafnya hvoKama ni Mchafuko tembelea hospitali mpenzi wangu zipo dawa utapona In Shaa allah
Sawa mkuuTafuta Erythromycin umeze! Ila pia unaweza kuwa na mzio (Allergy) wa kitu ambacho hujakielewa bado! Imenikuta hii.
ThanksUwe unakula matunda mboga za majani maziwa n. K
Kiufupi kula mlo kamili(balance diet)
Wakuu habari naomba msaada natokwa ni vipele n vijipu kwenye mwili inaweza ikawa tatizo gani au damu imechafuka nifanye nini?
Sawa MkuuPole sana.
Kwa majibu ya uhakika, nakushauri uende hospitali (Kwenye vipimo) huku utaishia kuambiwa una ukimwi, mara tb, mara hili, mara lile na lile.
Wishing you all the bestSawa Mkuu
Ooh inapatkna maeneo gn naweza nunua?Kula habatmuluki iko kama ubale mmoja wa karanga, but ukae karibu na choo, kama huna choo chako mwenyewe usitumie hio kitu
Maduka ya dawa za asili, watakuelekeza wao jinsi ya kutumia, inasafisha tumbo, damu nk, unajiskia fresh baada ya matumiziOoh inapatkna maeneo gn naweza nunua?
Pamoj kk ntaitafuta hyo nijarbuMaduka ya dawa za asili, watakuelekeza wao jinsi ya kutumia, inasafisha tumbo, damu nk, unajiskia fresh baada ya matumizi
Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Mkuu nenda hospitali kwanza,achana na hizo prakatatumbaPamoj kk ntaitafuta hyo nijarbu
Sawa mkuuWe bana kapime mzio (Allergy) kama uko Dar fika Ekenywa pale Magomeni.