Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 964
- 1,067
Ila sister mmeo anaonekana msanii, huenda alikaribiana nae hata kwa maongezi ya faragha kama hakupiga.Sasa kwa akili za kijinga hicho kidada kikawa kinaona mko equal,na mume wako akawa anaona noma kukikaripia kikiharibu mbele yenu.Sasa angalia ukileta HG mwingine hakikisha anaijua mipaka strictly, halafu some days mwache akawatembelee wakina Muddy hasa kama ana miaka ishirini na kitu, ili akatoe upweke😃😃.Mtu sio mfugo😆😆Asanteni sana nyote kwa maoni yenu
Niliamua kuongea nae ili nijue zaidi kiundani na kama nikumuondoa aondoke wote tukiwa na amani
Niliamua kumuweka wazi juu ya tabia zake mbele ya mume wangu pia niliamua kumuelezea zaidi vile ninavyojisikia
NiliweZa kumuandalia kila kitu na week iliyopita ameondoka.
Again asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app