Satoti
Member
- May 22, 2012
- 44
- 4
Nasema hivi kwa sababu nakumbuka wakati misuguano ya kugombea cheo cha mwenyekiti wa UVCCM katika kipindi cha nyuma mwenyekiti wa chama (Rais Kikwete) aliamua kumpitisha Masauni ambaye ni mzanzibar ili kuondoa migawanyiko. Vilevile tunakumbuka jinsi mwanamke alivyoumika kumstopisha Mh. Samwel Sitta katika kinyang'anyiro cha uspika.