Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,580
- 40,707
Mpe mwenzioNdio umeamua uje unitangaze hapa
Mpe mwenzioNdio umeamua uje unitangaze hapa
JamaniWe ni fala kweli, yaani mtu akikuangalia tayari anakupenda? Huenda anakufananisha na nyani wa nyumbani kwao, na wewe ulivyo zuzu unakenua kama huyo nyani.
Nimempenda miguu yako jamaniMwambie akupe bei elekezi ili ujue mnamalizanaje
Malizana na huyo sista kwanza mkuuNimempenda miguu yako jamani
Ashenale mama laiEehh labalai🙂
Habari zenu wakuu;
Kuna jambo linanipa tabu kidogo, kuna sister mgeni kanisani kwetu amekuja kuungana na ma sister wengine kuendeleza utume.
Sasa kila nikikutana naye huwa kama ananipenda hivi, muda mwingine tunaangaliana kwa kuibia ibia halafu kama tunafurahi hivi.
Sijui ni nini hiki ila mimi nimempenda kweli na nauhakika anajua au hata kuhisi hivyo, sijui naanzia wapi. Kila nikimkumbuka natamani Jumapili ifike nikutane naye, nifurahi.
Wajuzi wa haya mambo naombeni uzoefu wenu.
😂Maana ukiwaangalia tu wanasema unawapenda,na Sasa umeanza kuangalia chini watasema unawaonea aibu unawapenda🤣🤣
Ndomana siku hizi siangalii watu naangalia chini
Ndomana siku hizi siangalii watu naangalia chini
We ni fala kweli, yaani mtu akikuangalia tayari anakupenda? Huenda anakufananisha na nyani wa nyumbani kwao, na wewe ulivyo zuzu unakenua kama huyo nyani.