Naheshimu Kamati ya Usajili ya Simba SC, ila nauliza Shiboub tuliyemwacha ana tofauti gani na huyu Kanoute tunayemsifu leo?

Inawezekana akili zangu sio sawa ila ukweli ndio huo mchezaji mzuri haji huku chini tusijidanganye wale wachezaji wa West Africa mentality yao tofauti wanapigana mbele aje Yanga na Simba? kwa lipi kubwa, acheni kujidanganya kitu kizuri wanabeba juu kwa juu hukohuko.
Kwa hiyo simba isisajili wachezaji toka west Africa? League zinatofautiana ubora na thamani, hata timu vivyo hivyo.

Hawa vijana wa Mali (sadio Kanoute) na Senegal (Pape Ousmane Sakho) ni wachezaji wazuri wenye viwango bora na vinavyokidhi kuchezea Simba sc.

Wewe unayewadharau ishia hivyo hivyo.
 
Akili zako za hovyo tu, kwa hiyo unaamini wachezaji wote wasiochezea huko ulikotaja basi hawafai? Kuna mambo hujayajua mengi.

Kwa hiyo simba isisajili wachezaji toka west Africa? League zinatofautiana ubora na thamani, hata timu vivyo hivyo.

Hawa vijana wa Mali (sadio Kanoute) na Senegal (Pape Ousmane Sakho) ni wachezaji wazuri wenye viwango bora na vinavyokidhi kuchezea Simba sc.

Wewe unayewadharau ishia hivyo hivyo.
Sijasema wasisajili kama wameona wanawafaa sawa tu ila point yangu wanaokuja huku ujuwe wameshindwa kufika malengo ambayo wachezaji wa West africa wanaota ndoto zao. wanaweza kuwa wazuri kwa league yetu ila zile hype za kushabikia majina yao ndio shida mimi sijawaona hao wachezaji ila kama washabiki wameona wanawafaa sawa tu kwa kiwango chetu. Point yangu ilikuwa wachezaji wazuri wawe South America, Asia au Europe watacheza league 4 EPL, La liga, Bundesliga au Seria A, kama bado basi utawakuta France, Holand zaidi ya hapo mawili kiwango bado au ukianza kuishiwa Turkey. Ndio maana nimesema W. Africa wakiona unakuja huku na thamani yako inashuka kule mawazo yao kutoboa tu mbele. Usinichukulie labda nachukia Simba haya makosa hata Yanga wanaongoza katika haya mchezaji mzuri congo TP mazembe hawamuachi TP kama Bayern Munich na yule mchezaji walimchukua sijui Angola sababu ya rangi tu na jina na maandamano uwanja wa ndege wakati na uhakika kuna wachezaji Bongo kuliko yule jamaa, alikuwa siku akipiga pass ya goal tu utasema Ronaldo kafunga goal hapo mimi ndio nakosoa.
 
Sijasema wasisajili kama wameona wanawafaa sawa tu ila point yangu wanaokuja huku ujuwe wameshindwa kufika malengo ambayo wachezaji wa West africa wanaota ndoto zao. wanaweza kuwa wazuri kwa league yetu ila zile hype za kushabikia majina yao ndio shida mimi sijawaona hao wachezaji ila kama washabiki wameona wanawafaa sawa tu kwa kiwango chetu. Point yangu ilikuwa wachezaji wazuri wawe South America, Asia au Europe watacheza league 4 EPL, La liga, Bundesliga au Seria A, kama bado basi utawakuta France, Holand zaidi ya hapo mawili kiwango bado au ukianza kuishiwa Turkey. Ndio maana nimesema W. Africa wakiona unakuja huku na thamani yako inashuka kule mawazo yao kutoboa tu mbele. Usinichukulie labda nachukia Simba haya makosa hata Yanga wanaongoza katika haya mchezaji mzuri congo TP mazembe hawamuachi TP kama Bayern Munich na yule mchezaji walimchukua sijui Angola sababu ya rangi tu na jina na maandamano uwanja wa ndege wakati na uhakika kuna wachezaji Bongo kuliko yule jamaa, alikuwa siku akipiga pass ya goal tu utasema Ronaldo kafunga goal hapo mimi ndio nakosoa.
Kwa hiyo kosa la sisi mashabiki wa simba sc ni kuamini kuwa hawa wachezaji wapya wako vizuri?

Ulitaka tuanze kukosoa kama unavyowaza wewe kuwa mbona hawajasajiliwa ulaya?

Kwa hiyo hao wachezaji wameshindwa kufikia malengo? Unayajua malengo yao au ni kukariri tu kuwa wachezaji wa west Africa wote wanahitaji sana kwenda ulaya?
Kwani wachezaji wa EAC hawapendi kwenda ulaya?

Mbona huwasemi akina Bocco au Nado kuwa walishafeli kwa kuwa wanachezea simba na Azam mtawalia?

Msiwe mnashusha hadhi wenzenu kwa kukariri mawazo yasiyo na uhalisia.
 
Kwa hiyo kosa la sisi mashabiki wa simba sc ni kuamini kuwa hawa wachezaji wapya wako vizuri?

Ulitaka tuanze kukosoa kama unavyowaza wewe kuwa mbona hawajasajiliwa ulaya?

Kwa hiyo hao wachezaji wameshindwa kufikia malengo? Unayajua malengo yao au ni kukariri tu kuwa wachezaji wa west Africa wote wanahitaji sana kwenda ulaya?
Kwani wachezaji wa EAC hawapendi kwenda ulaya?

Mbona huwasemi akina Bocco au Nado kuwa walishafeli kwa kuwa wanachezea simba na Azam mtawalia?

Msiwe mnashusha hadhi wenzenu kwa kukariri mawazo yasiyo na uhalisia.
Uta panic bure mchezaji wa West Africa atacheza N.Africa au Ulaya ndio route yao sio Simba wala Yanga tusidanganyane kama watoto wadogo. Unamtaja Bocco huyo mchezaji wa hapa hapa tu hana uwezo wa kwenda nje. Mbwana kajitahidi akataka kupiga hatua kubwa tumeona yaliyotokea level yake league ya Belgium ila ana uthubutu nampa sifa zake. wachezaji wa kibongo ndoto zao kucheza Yanga na Simba hakuna la zaidi lakini pia uwezo mdogo alikwenda Ngassa wakati yuko form akaambiwa rudi bado sana. Alishawahi kwenda mchezaji bora Tanzania wakati huo Athumani China akaishia kukaa bench team ya daraja la 4 Wallsal. Mpira wetu wa magazetini tu hata mechi ya TP juzi iliwakumbusha Simba uwezo wenu huu unaona kama kabisa watu wamezidi.
 
Uta panic bure mchezaji wa West Africa atacheza N.Africa au Ulaya ndio route yao sio Simba wala Yanga tusidanganyane kama watoto wadogo. Unamtaja Bocco huyo mchezaji wa hapa hapa tu hana uwezo wa kwenda nje. Mbwana kajitahidi akataka kupiga hatua kubwa tumeona yaliyotokea level yake league ya Belgium ila ana uthubutu nampa sifa zake. wachezaji wa kibongo ndoto zao kucheza Yanga na Simba hakuna la zaidi lakini pia uwezo mdogo alikwenda Ngassa wakati yuko form akaambiwa rudi bado sana. Alishawahi kwenda mchezaji bora Tanzania wakati huo Athumani China akaishia kukaa bench team ya daraja la 4 Wallsal. Mpira wetu wa magazetini tu hata mechi ya TP juzi iliwakumbusha Simba uwezo wenu huu unaona kama kabisa watu wamezidi.
Umegeukia wachezaji wa bongo tena siyo wa west Africa ?
 
Umegeukia wachezaji wa bongo tena siyo wa west Africa ?
Hapana nimejibu huyo aliyeniuliza kwani wachezaji wa Tanzania kina Bocco vipi mbona wazuri kwani lazima waende nje, hapo nimejibu tu sisi mafanikio kwetu kucheza Simba na Yanga hatujisukumi kutaka kwenda nje tunaridhika sana. Lakini sina tatizo na wachezaji wetu hichi ndio kiwango chetu. Hivi sasa wachezaji wetu tu kupata nafasi Yanga na Simba ni shida.
 
Mtanisamehe kama nitawakwaza ila kwangu Mimi Mightier siiaona tofauti ya Kiungo Shiboub tuliyemwacha kwa sababu za Kipuuzi na leo hii Kumsajili Kiungo Kanoute tunayempamba.

Tena kwa ninavyomjua Shiboub na kumtizama tokea akiwa Kwao Sudan na katika Mashindano mbalimbali ya Kimataifa aliyocheza kwa mtazamo wangu wa Jicho Kali la Kiufundi naona Shiboub amemzidi vingi Kanoute.

Kwa kusema hivi simaanishi kuwa Mightier sijapendezwa na Usajili wa Kiungo Kanoute kwani nimeona ni mzuri ila Simba SC kumuacha Shiboub na kumsajili Kanoute ni sawa na Manchester United FC iachane na Paul Scholes halafu imsajili kwa Mbwembwe Nicky Butt.

Nilisikitika mno Kuachwa kwa Shiboub.
Umenena kaka tatizo ni kwamba wakati wa Shiboub masta walikuwa wengi ...Chama, Mkude akiwa kwenye ubora na kahata walikuwa wanafanya vyema kwa hiyo ilikuwa lazima apungue mtu..ila kwasasa anahitajika. Kanoute ni muhimu saana pia kwani yeye anaadvantage ya umri pia anasaidia saana katika kulinda nyuma.Shiboub hasaidii katika kukaba...Pia umri wake umeenda kidogo. Ilanakuunga mkono dirisha wamchukue tena
 
Hapana nimejibu huyo aliyeniuliza kwani wachezaji wa Tanzania kina Bocco vipi mbona wazuri kwani lazima waende nje, hapo nimejibu tu sisi mafanikio kwetu kucheza Simba na Yanga hatujisukumi kutaka kwenda nje tunaridhika sana. Lakini sina tatizo na wachezaji wetu hichi ndio kiwango chetu. Hivi sasa wachezaji wetu tu kupata nafasi Yanga na Simba ni shida.
Unatunga hoja zako binafsi halafu unajijibu, sijui wanzuki inakusumbua
 
Unatunga hoja zako binafsi halafu unajijibu, sijui wanzuki inakusumbua
Ni kweli inanisumbua sana tu, jifunze kujenga hoja na ushabiki weka pembeni ila kumbuka tu Kanoute na Sako huko ni kama majina tu kama Juma na Jumanne huku. Mimi sio shabiki maandazi wale wa kubishana tu hujui anabishana nini. wachezaji wa Tanzania wakifika Simba na Yanga wamefika zaidi ya hapo hawawezi wala uthubutu hawana sasa kwani uwongo? Na wewe sio mara ya kwanza kusajili majina mwisho wa siku wako wapi? usajili pekee Simba kupatia ni Chama na Yule Kijana wa Mozambique yule Mzimbabwe sijui anafunga Mo ukwaju au anacheza bado sina uhakika. acheni mihemuko ya Majina.
 
Ni kweli inanisumbua sana tu, jifunze kujenga hoja na ushabiki weka pembeni ila kumbuka tu Kanoute na Sako huko ni kama majina tu kama Juma na Jumanne huku. Mimi sio shabiki maandazi wale wa kubishana tu hujui anabishana nini. wachezaji wa Tanzania wakifika Simba na Yanga wamefika zaidi ya hapo hawawezi wala uthubutu hawana sasa kwani uwongo? Na wewe sio mara ya kwanza kusajili majina mwisho wa siku wako wapi? usajili pekee Simba kupatia ni Chama na Yule Kijana wa Mozambique yule Mzimbabwe sijui anafunga Mo ukwaju au anacheza bado sina uhakika. acheni mihemuko ya Majina.
Unaposema usajili wa maana simba wamewahi kufanya ni hao tu uliowataja unamaanisha waliobaki hawana uwezo? Ingekuwa vile simba sc ingefika hatua ilipo sasa?
Lawama kila kitu, we ndiyo shabiki mandazi usiyejua kuchambua soka.

Unaendeshwa na chuki dhidi ya simba na Mo Dewji.

Hazikusaidii, simba imepiga hatua kuliko utopolo yenu ya mwanaspoti! Period!
 
Unaposema usajili wa maana simba wamewahi kufanya ni hao tu uliowataja unamaanisha waliobaki hawana uwezo? Ingekuwa vile simba sc ingefika hatua ilipo sasa?
Lawama kila kitu, we ndiyo shabiki mandazi usiyejua kuchambua soka.

Unaendeshwa na chuki dhidi ya simba na Mo Dewji.

Hazikusaidii, simba imepiga hatua kuliko utopolo yenu ya mwanaspoti! Period!
wapi nimemtaja Mo Dewji? nimewasema Yanga pia kusajili majina tu kama yule mtoto wa Angola nawasema wote tu sichagui halafu sasa nimekujuwa wewe ni mtu wa aina gani kunitajia Mwanaspoti sijui, mimi sisomi vigazeti vya michezo vya Bongo baada ya hili kuniletea story za Mo na mwanaspoti nimekuelewa najadiliana na nani. Halafu hayo mafaniko yapi? kuchukuwa ubingwa wa Tanzania? mbona kawaida tu kabla hata ya Mo, kufika robo final mbona sio mara ya kwanza sasa sijui kwake mafaniko ni nini. kuchukuwa kombe au fika sehemu hujawahi kufika kabla hapo utakuwa na hoja unapiga hatua.
 
Back
Top Bottom