Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Let other things remain constant akuna jinsi ya kulinda shamba ata iwe 24 hrs nyani hasiibe ata hindi moja.
Huyo hajui nyani wala mahindi.
Let other things remain constant akuna jinsi ya kulinda shamba ata iwe 24 hrs nyani hasiibe ata hindi moja.
Atakuwa kazaliwa nakukulia postaHuyo hajui nyani wala mahindi.
Huyo hajui nyani wala mahindi.
Atakuwa kazaliwa nakukulia posta
Nape Nnauye aongezee misemo hii kwenye ubongo wake.Napeeeeee!Jamaa kabakia na nahau,ghani,vitendawili,mafumbo,misemo,mitindo,vijembe,mafumbo nk baaasii!Hivi bado huwa anapigilia kanzu na kibarghashia?Usaadh Nape himself!
Hahahahaaa! Asiongezwe mistari mingine head yake itapasuka.Maana yake naona siku hizi anatoa semi na mashairi motomoto.Hata lile la ..."Karudi baba mmoja"...naamini atatuimbia tu.Nape Nnauye aongezee misemo hii kwenye ubongo wake.
1. Maneno matupu hayavunji mfupa
2. Kelele za mpangaji hazimnyimi usingizi kupata usingizi.
Waliyala mkulima alipokufa. Wewe ndo unajichanganya.
Kwahiyo kwa akili yako wewe, Nyani ataanza kazi ya ukulima!
Nilifikiri bado nahau, fasihi, misemo inafundishwa ulivyojibu inaonyesha Kuna shida mashuleni.Mkulima alikuwa na faida gani kwa nyani kama mahindi yake walikuwa wanafukuzwa wasile?
Nape amechemka.
Anazungumzia kuzuia bunge live