ChamaDola
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 3,432
- 2,804
Wakuu,
Niko mbioni kuhamia Mwanza,kwahiyo ningependa kukaa mitaa ya uswahilini.
Nimeishi Tandale Beo Beo,Tandale Lindo la Kuni,Mwenge na Tegeta kwa Dar.
Kwahiyo ningependa kupata mitaa kama hiyo Mwanza ukiacha Tegeta
Maeneo yawe vyumba vya 10,000-15,000 yenye muingiliano mkubwa wa watu,magenge na kwenye kupata mahitaji mengine kirahisi!
Shukrani.
Mods:I Appreciate your service!
Thanks for the photo uplift!
Niko mbioni kuhamia Mwanza,kwahiyo ningependa kukaa mitaa ya uswahilini.
Nimeishi Tandale Beo Beo,Tandale Lindo la Kuni,Mwenge na Tegeta kwa Dar.
Kwahiyo ningependa kupata mitaa kama hiyo Mwanza ukiacha Tegeta
Maeneo yawe vyumba vya 10,000-15,000 yenye muingiliano mkubwa wa watu,magenge na kwenye kupata mahitaji mengine kirahisi!
Shukrani.
Mods:I Appreciate your service!
Thanks for the photo uplift!