Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,578
WANAUME WA MKOA FULANI KUJENI HUKU KUNA UFUMBUZ WA TATIZO LENU
Mimi ninayo ya kuongeza nguvu za akina mama! Kama Luna mdada ah mmama anahitaji mlete huku kwangu mkuu.Mbona kila dawa ya kuongeza nguvu ni kwa wanaume tu, kwanini na wadada nao tunawasahau mara nyingi wanalalama hawafiki kilele.
Hiyo ya tano naona unataka kuongeza wajanedawa hiyo nimetumia KEMIA IFUATAYO
- PILIPILI + PARACHICHI + NDIZI = msukumo wa usambazaji damu mwilini, kuongeza uwezo wa mtu kufanya tendo la ndoa ni Parachichi, uimara wa misuli ya mwili ambayo inatajwa kuwa ni sehemu kuu na yenye muhimu katika kujamiiana.
- CHOKOLETI + POMEGRANATE + MVINYO MWEKUNDU + MBEGU ZA MATUNDA = uchangamfu mwilini, kuamsha mishipa ya fahamu na kuweka mawasiliano sahihi ya mwili na hivyo kumuongezea mtu uwezo kwa kufanya tendo la ndoa kwa hamasa kubwa, kuongeza msukumo wa damu, kuondoa ACID
- VANILLA = Vanila husaidia kuamasha hamasa mwili
- Pweza na chaza
- Karanga na Asali na kiroba cha konyagi na panadol na ugali wa donaa
hapo mix # 1+2+3+4+5 = te te te te teh, sifundishi theory nenda kajaribuuuu, N:B ukishindwa ni PM jinsi ya kunipata nikupe maujanja