Nawaalika wana Jei Efu wote kufuturu na mimi kwangu saa 12 na nusu mpaka 1 usiku,sichagui kabila,mkoa utokao wala dini lakini uwe na akili timamu,walafi marukufu*(hahaha!).
Tuwekee MENU kabisa hapaa, lol. wengine hatujui futari huwa ina madikodiko gani
Mihogo na maharage, afu na uji wa pilipili, usio na sukari...
Baby hakikisheni mnapiga zile pamba nlizowanunulieni Dubai, sawa eh?
Hehehe!! Umeingia chooo cha kike ukasahau kuchuchumaa? cacico, BADILI TABIA na Yummy ni wake halali wa ODM mimi. Tena siyo wa Type ya Rose Kamili na Dr. Slaa, bali kama Obama na Michelle.Hv kumbe cacico ananidanganya miyee..yuko kwingine kumbe!!!!!
Baby hakikisheni mnapiga zile pamba nlizowanunulieni Dubai, sawa eh?
Hv kumbe cacico ananidanganya miyee..yuko kwingine kumbe!!!!!
khaaaaaa hebu tupishe, usitake kuharibu ndoa ya mke mwenzangu......
Baby hakikisheni mnapiga zile pamba nlizowanunulieni Dubai, sawa eh?
Hehehe!! Umeingia chooo cha kike ukasahau kuchuchumaa? cacico, BADILI TABIA na Yummy ni wake halali wa ODM mimi. Tena siyo wa Type ya Rose Kamili na Dr. Slaa, bali kama Obama na Michelle.