Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Mimi ni mkatoliki ila nakiri wazi kwamba nafurahishwa na namna waislam kwenye ibada zao na mazishini wanavyowatenga wanawake wake peke yao.
Yani nikiwaona wanawake wako nyuma wamekaa peke yao wamejifunika kanga au shungi au sisi wanaume tunapanda magari kwenda kuzika wao tunawaacha nyumbani najisikia furaha sana na najiona kidume mwenye mamlaka juu ya wanawake.
Najiona Mimi mwanaume mmoja nawatawala maelfu ya wanawake kwa upole wao na udhaifu.
Yani najiona kidume sana hasa ninapowaona wanawake weeengi wananitazama Mimi kidume peke yangu msibani.
Pia, kitendo cha Mimi kukojoa nimesimama Yani naona fahari isiyo ya kawaida.
Mwanaume ni kiongozi.
Yani nikiwaona wanawake wako nyuma wamekaa peke yao wamejifunika kanga au shungi au sisi wanaume tunapanda magari kwenda kuzika wao tunawaacha nyumbani najisikia furaha sana na najiona kidume mwenye mamlaka juu ya wanawake.
Najiona Mimi mwanaume mmoja nawatawala maelfu ya wanawake kwa upole wao na udhaifu.
Yani najiona kidume sana hasa ninapowaona wanawake weeengi wananitazama Mimi kidume peke yangu msibani.
Pia, kitendo cha Mimi kukojoa nimesimama Yani naona fahari isiyo ya kawaida.
Mwanaume ni kiongozi.