Asante Sana mkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Nani kakwambia Mimi tapeli?Karibu
ila usije tutapeli mkuu
tumeumizwa sana
Asante SanaKila la kheri...
Tayari nimekaribia mkuu
Karibu Sana JF
Tayari nimekaribia mkuu
Nyumbani ni Pwani mkuu Ila nipo DSM muda huu
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Taja
Kijiji
Kitongoji
Kata
Wilaya
Mkoa
JF Inasaidia Kupata Watu Walio Jirani Nawe Hata Ukiwa Igangabhilili, Itilima Huko Mkoani Simiyu JF Ipo
Omurushaka Kayanga Karagwe
sema tu kwamba na wewe ni mwanaume wa dar usivungeNyumbani ni Pwani mkuu Ila nipo DSM muda huu
Mi Masai wa Darsema tu kwamba na wewe ni mwanaume wa dar usivunge
,🙏🙏Karibu mkuu