Nafungua radio kanda ya ziwa..ushauri tafadhali

Mtimti

JF-Expert Member
Feb 23, 2008
942
644
habari zenu waungwana.....nimekuja hapa kuwaomba ushauri na ntaheshimu mawazo yenu..!
nataka kufungua radio katika mkoa mmoja wapo wa kanda ya ziwa (mwanza,geita,shinyanga au simiyu),nimeshaanza utaratibu wa kuregister kampuni hapo brela na pia nimeshaanza kununua vifaa vya radio taratibu.
sasa kichwa kinaniuma sana kila nikifikiria ni mkoa gani niiweke hii radio....mi ni mwenyeji wa mkoa mpya wa simiyu lkn kwa bahati mbaya sijui mazingira ya huu mkoa,na kwa sasa makazi yangu yapo nje ya Tanzania(UK)
hivyo kwa wale ambao wanaielewa vizuri hii mikoa naomba ushauri wenu ....natanguliza shukrani kwenu
 
habari zenu waungwana.....nimekuja hapa kuwaomba ushauri na ntaheshimu mawazo yenu..!
nataka kufungua radio katika mkoa mmoja wapo wa kanda ya ziwa (mwanza,geita,shinyanga au simiyu),nimeshaanza utaratibu wa kuregister kampuni hapo brela na pia nimeshaanza kununua vifaa vya radio taratibu.
sasa kichwa kinaniuma sana kila nikifikiria ni mkoa gani niiweke hii radio....mi ni mwenyeji wa mkoa mpya wa simiyu lkn kwa bahati mbaya sijui mazingira ya huu mkoa,na kwa sasa makazi yangu yapo nje ya Tanzania(UK)
hivyo kwa wale ambao wanaielewa vizuri hii mikoa naomba ushauri wenu ....natanguliza shukrani kwenu

mkuu hapo kwa red unataka wanaoielewa ktk nyanja zipi? hebu funguka zaidi usaidiwe .....it's too general!
 
mito nilimaanisha ni mkoa gani ambao unaweza kuwa mzuri kwa mimi kufungua hii biashara na kupata mafanikio ....maana radio kujiendesha Inabidi upate matangazo ya biashara ..hivyo kuifungua ktk mkoa wenye pilika za biashara na mzunguko mkubwa wa pesa ni moja ya vizuri zaidi.....maana mimi nimeshaplan jinsi ya kuwavutia wasikilizaji ktk kipindi cha miezi sita ya mwanzo baada ya hapo inabidi ianze kujitegemea kwa kujiendesha yenyewe....nadhani utakuwa umenipata
 
Last edited by a moderator:
shinyanga,ishu ya kupata matangazo utafungua ofisi za kurahisisha izo deals,establish frequency za kufika mikoa yote uloitaja.
 
shinyanga,ishu ya kupata matangazo utafungua ofisi za kurahisisha izo deals,establish frequency za kufika mikoa yote uloitaja.

Asante kwa ushauri wako..ntalifanyia kazu suala lako maana nimewapata watu ambao watanifanyia research kati ya shinyanga na mwanza maana ndio mikoa mikongwe kuliko hiyo mingine kwa kanda ya ziwa
na shinyanga naiona haina local radio ya maana hivyo naweza kuifanya radio yangu kuwa ndio kipenzi chao pale mkoani
 
mkuu jitahidi uweke transmitter kubwa ili uweze kucover hiyo mikoa yote uliyoitaja ndo utapiga hela, ila sina uhakika kama TCRA watakuruhusu maana huko nako ni kasheshe tupu.
 
Thts gud,pia tengeneza o tuseme sajil kampun ambayo itakua responsible na all copy rigths za deals za matangazo,kuajir competent people,inawezekana kabisa,stay focus.
 
habari zenu waungwana.....nimekuja hapa kuwaomba ushauri na ntaheshimu mawazo yenu..!
nataka kufungua radio katika mkoa mmoja wapo wa kanda ya ziwa (mwanza,geita,shinyanga au simiyu),nimeshaanza utaratibu wa kuregister kampuni hapo brela na pia nimeshaanza kununua vifaa vya radio taratibu.
sasa kichwa kinaniuma sana kila nikifikiria ni mkoa gani niiweke hii radio....mi ni mwenyeji wa mkoa mpya wa simiyu lkn kwa bahati mbaya sijui mazingira ya huu mkoa,na kwa sasa makazi yangu yapo nje ya Tanzania(UK)
hivyo kwa wale ambao wanaielewa vizuri hii mikoa naomba ushauri wenu ....natanguliza shukrani kwenu

Unatakiwa ujipange haswaa, maana ndugu zangu wasukuma kuja kuwaconvice wasiskilize RFA waskilize radio yako inakuwa shughuli pevu! Binafsi ningekushauri uangalie mikoa kama KIGOMA, TABORA, RUVUMA, MTWARA na LINDI!
 
Unatakiwa ujipange haswaa, maana ndugu zangu wasukuma kuja kuwaconvice wasiskilize RFA waskilize radio yako inakuwa shughuli pevu! Binafsi ningekushauri uangalie mikoa kama KIGOMA, TABORA, RUVUMA, MTWARA na LINDI!

Nimekuelewa ndg..kwa kweli najipanga hasa na uzuri wa wasukuma wanapenda chao hasa kikiwa kwenye mkoa wao ....ntajitahidi kuifanya waikubali na waipende.....Asante kwa ushauri wako ntaufanyia kazi
 
mkuu jitahidi uweke transmitter kubwa ili uweze kucover hiyo mikoa yote uliyoitaja ndo utapiga hela, ila sina uhakika kama TCRA watakuruhusu maana huko nako ni kasheshe tupu.

lengo langu ni kudeal na kanda ya ziwa hivyo ntajitahidi kuifanya isikike vizuri na kushika ktk kanda hiyo
Tra wao hawana tatizo,unapokamilisha taratibu zao na kulipa fee yao basi wanakupa masafa
 
Thts gud,pia tengeneza o tuseme sajil kampun ambayo itakua responsible na all copy rigths za deals za matangazo,kuajir competent people,inawezekana kabisa,stay focus.

Asante ndg kwa ushauri ...kwa kweli najipanga sana ili ndoto yangu itimie
 
habari zenu waungwana.....nimekuja hapa kuwaomba ushauri na ntaheshimu mawazo yenu..!
nataka kufungua radio katika mkoa mmoja wapo wa kanda ya ziwa (mwanza,geita,shinyanga au simiyu),nimeshaanza utaratibu wa kuregister kampuni hapo brela na pia nimeshaanza kununua vifaa vya radio taratibu.
sasa kichwa kinaniuma sana kila nikifikiria ni mkoa gani niiweke hii radio....mi ni mwenyeji wa mkoa mpya wa simiyu lkn kwa bahati mbaya sijui mazingira ya huu mkoa,na kwa sasa makazi yangu yapo nje ya Tanzania(UK)
hivyo kwa wale ambao wanaielewa vizuri hii mikoa naomba ushauri wenu ....natanguliza shukrani kwenu

tupatie feedback
 
Hongera sana mkuu umekuja na wazo zuri na ninaamini utafanikiwa kutokana na ulivyojipanga. USHAURI: Nadhani ingekua vizuri kufungua kituo hicho eneo ambalo linafikika kirahisi kipindi chote cha mwaka (kiangazi & masika) vile vile uzingatie usalama wa eneo husika ili kuwafanya wafanyakazi wako watakao kuwa wakitoka studio usiku waweze kufika makwao kiurahisi na salama na kwa kuwa ndo unaanza ni vizuri ukawapata watangazaji ambao ni fresh from school sababu kubwa ni kuepuka watangazaji wenye majina makubwa kuliko kituo chako sababu wanaeza kuwa na kiburi na wengi wao wanafanya kazi kwa kuigana huku wakitaka mishahara mikubwa kisa eti wao ni mastaa. Jifunze kwa waliofeli kwa sababu hata mjinga analo la kumfundisha mjanja jaribu kupeleleza kwanini walifeli ili nawe uepuke anguko hilo. Jifunze kwa waliofanikiwa pia kwa kutazama ni njia zipi walizitumia hadi kufika hapo walipo na wewe uzichukue na kuziboresha na kuzitumia kwako ili upate mafanikio na usisahau mapungufu yao uyaweke kama changamoto kwako na usiyaruhusu yatokee kamwe. When you minimize cost you maximize profit automatically kwahiyo jitahidi kadri uwezavyo kupunguza matumizi yasiyo na ulazima sana ambayo hayataathiri ubora wa kazi yako. Wakati mkiwa kwenye majaribio ndo wakati mzuri wa kuteka wasikilizaji wengi kwa kuweka miziki pendwa na kutoa muda mrefu kwa kusoma sms za wasikilizaji na kupokea simu zao ili wawape taarifa kuwa wanaonaje usikivu wa kituo chako maeneo yao pamoja na wao kupendekeza vipindi wanavyovipenda. Mungu akuongoze ufike mbali zaidi ya hapo unapowaza. Ahsante.
 
Asante kwa ushauri wako..ntalifanyia kazu suala lako maana nimewapata watu ambao watanifanyia research kati ya shinyanga na mwanza maana ndio mikoa mikongwe kuliko hiyo mingine kwa kanda ya ziwa
na shinyanga naiona haina local radio ya maana hivyo naweza kuifanya radio yangu kuwa ndio kipenzi chao pale mkoani

mwanza njoo nikupe eneo tufanye biashara. liko nyasaka msumbiji zinapo geuzia Hiase ni PM tufanye biashara
 
itabidi ujitahidi sana kwenye suala la kujitangaza kwani nawafahamu sana wasukuma wao ni rfa tu na redio tanzania tena wao wanatembea na zile redio huku zikiimba kwa nguvu mtaa mzima utajua kuwa amepita mtu
lengo langu ni kudeal na kanda ya ziwa hivyo ntajitahidi kuifanya isikike vizuri na kushika ktk kanda hiyo
Tra wao hawana tatizo,unapokamilisha taratibu zao na kulipa fee yao basi wanakupa masafa
 
mtangazaji kama mm nitafaa sana kwenye hiyo redio yake ila natokea ng'ambo sijui yeye anawataka wa hukohuko mwanza
Hongera sana mkuu umekuja na wazo zuri na ninaamini utafanikiwa kutokana na ulivyojipanga. USHAURI: Nadhani ingekua vizuri kufungua kituo hicho eneo ambalo linafikika kirahisi kipindi chote cha mwaka (kiangazi & masika) vile vile uzingatie usalama wa eneo husika ili kuwafanya wafanyakazi wako watakao kuwa wakitoka studio usiku waweze kufika makwao kiurahisi na salama na kwa kuwa ndo unaanza ni vizuri ukawapata watangazaji ambao ni fresh from school sababu kubwa ni kuepuka watangazaji wenye majina makubwa kuliko kituo chako sababu wanaeza kuwa na kiburi na wengi wao wanafanya kazi kwa kuigana huku wakitaka mishahara mikubwa kisa eti wao ni mastaa. Jifunze kwa waliofeli kwa sababu hata mjinga analo la kumfundisha mjanja jaribu kupeleleza kwanini walifeli ili nawe uepuke anguko hilo. Jifunze kwa waliofanikiwa pia kwa kutazama ni njia zipi walizitumia hadi kufika hapo walipo na wewe uzichukue na kuziboresha na kuzitumia kwako ili upate mafanikio na usisahau mapungufu yao uyaweke kama changamoto kwako na usiyaruhusu yatokee kamwe. When you minimize cost you maximize profit automatically kwahiyo jitahidi kadri uwezavyo kupunguza matumizi yasiyo na ulazima sana ambayo hayataathiri ubora wa kazi yako. Wakati mkiwa kwenye majaribio ndo wakati mzuri wa kuteka wasikilizaji wengi kwa kuweka miziki pendwa na kutoa muda mrefu kwa kusoma sms za wasikilizaji na kupokea simu zao ili wawape taarifa kuwa wanaonaje usikivu wa kituo chako maeneo yao pamoja na wao kupendekeza vipindi wanavyovipenda. Mungu akuongoze ufike mbali zaidi ya hapo unapowaza. Ahsante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom