The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Ameniumiza sana, umeuvunja moyo wangu vipande vipande. Kinachoniuma zaidi si yeye kunichelewesha nisimalize shule kwa wakati bali ni maneno ya dharau na kejeli ambayo amekuwa akinitamkia.
Amenifanya mimi ni kiumbe duni kabisa nisiyesitahili heshima wala kuthaminiwa. Nimevumilia na kuwa myonge kwa muda mrefu. Kwa sasa nimeamua kufunga novena Mungu wangu atanitetea tu.
Amenifanya mimi ni kiumbe duni kabisa nisiyesitahili heshima wala kuthaminiwa. Nimevumilia na kuwa myonge kwa muda mrefu. Kwa sasa nimeamua kufunga novena Mungu wangu atanitetea tu.